Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

Ukute hao unaowajadili umewazidi umri, vijana wa watu wanapambana mchana kwa usiku, America, Ulaya mpaka na Asia wamefika,

Wewe sasa Kodi ya chumba kimoja inakushinda halafu unaleta nyenyenye
 
Msiwe mnafananisha Diamond na vitu vya kipumbavu
Kiba simpendi kwa sababu moja kujiona anajiona sana na kauli fulani hivi anaboa sana .
Diamond anajiona sometimes na mchukiaga kwa hilo ila anakitu napendaga anaheshimu wadada sio aliozaa nao hapana but anaangalia kama hamisa dai hamuheshimu.

Ila kiukweli huwaheshimu wa dada .
Kiba nope anamadharau halafu tabia hizo hizo mke wake anazo kiba haoni ila ndio hvyo kampendea .
Mtu kaolewa Tanzania anaishi kenya kwao kwani ile harusi ilikuwa video ya nyimbo ya kiba?
 
ali mwisho burundi tu hata South Sudan hawamtambui
 
Narudia Tena....Diamond yupo Marekeni anatafuta pesa Alikiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama [emoji23][emoji23] halafu badae Diamond akisema anahela kumshinda Alikiba mna mind[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe uko jf unawasema watafta pesa.
Au wewe pesa huitaki?
 
Back
Top Bottom