Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

Tunakumbushana tu jamani ....mwenzio mondi yupo nje kuzitafuta pesa za kigeni akuze pato la nchi .....yeye yupo clause anachambana huku akisema anauza albam [emoji38][emoji38] na albamu yenyewe sizani nyie mnao mtetea Kama mnazo.

Alafu akitika redioni kuchambana na wakina mama mnamsifia eti anajua kuuchuna na lenyewe lisivyo na akili linauchuna [emoji38][emoji38] linachuniana na wanawake yaani dume zima linanunia wanawake [emoji38][emoji38][emoji38] na nyie mnalisifu. Hizo tabia za kununa nuna ni za kike.


Mwanaume gani anae jiita king ameshindwa kumdhibiti mwanamke[emoji38][emoji38][emoji38]

Acheni ujinga
 
Na wewe upo nyumbani una posti jf......[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tunakumbushana tu jamani ....mwenzio mondi yupo nje kuzitafuta pesa za kigeni akuze pato la nchi .....yeye yupo clause anachambana huku akisema anauza albam [emoji38][emoji38] na albamu yenyewe sizani nyie mnao mtetea Kama mnazo.

Alafu akitika redioni kuchambana na wakina mama mnamsifia eti anajua kuuchuna na lenyewe lisivyo na akili linauchuna [emoji38][emoji38] linachuniana na wanawake yaani dume zima linanunia wanawake [emoji38][emoji38][emoji38] na nyie mnalisifu. Hizo tabia za kununa nuna ni za kike.


Mwanaume gani anae jiita king ameshindwa kumdhibiti mwanamke[emoji38][emoji38][emoji38]

Acheni ujinga
Amdhibiti kwani mkewe?Pambana na wewe ili siku moja uje ufunguliwe thread!
 
Narudia Tena....Diamond yupo Marekeni anatafuta pesa Alikiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama [emoji23][emoji23] halafu badae Diamond akisema anahela kumshinda Alikiba mna mind[emoji23][emoji23][emoji23]
kiba ni boya sana na ana wivu hata ukimwangalia usoni unaonekana.
 
Screenshot_20210709-210354.jpg
 
Kiba alimlea baba,ake kisa baba yake alimlea kiba mwa daimond baba daimod alimtelekeza daimond ndio maana daimond anamtelekeza baba ake .

Duniani usitegemee mazuri kama unayafanya mabaya
Ulikuwepo Wakati anamlea? Acha uongo na umbea kuhusu familia za watu
 
Narudia Tena....Diamond yupo Marekeni anatafuta pesa Alikiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama [emoji23][emoji23] halafu badae Diamond akisema anahela kumshinda Alikiba mna mind[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona wewe upo chumba cha giza unawajadili wanaume sisi hatukufokei?
 
Kwahiyo hilo povu unalotema ndio kithibitisho cha wewe kua na akili kubwa?
Hii ni JF an open forums,acha kuteseka utapata vidonda vya tumbo,huwezi kumcontrol mtu aandike nini hapa,usiniletee hasira za njaa yako hapa boya wewe.
Asiķuletee hasira za njaa yake uwongo mkuu?
 
Back
Top Bottom