Diamond Plutnumz atangaza Mimba ya Zari thebosslady Rasmi

kibongobongi kutangaza mimba uchuro maana mijitu ina roho za mamba
 

Kweli mkuu. ...........
 

Ni wapi niliposema nayachukia maisha ya Diamond?

Yeye ndio anapenda maisha yake yajadiliwe na ndio maana kayaleta mtandaoni.

Basi ili uone tunampenda changia wewe kwa niaba yetu ili sisi kazi yetu iwe kugonga like tu.

Kama kweli unampenda Diamond mshauri aache ujinga kama mimi nilivyomshauri Linda aachane na ujinga.

Je una lingine?
 

maskin jamani uncle alikua so happy yaani furaha ndo ilimpelekea ashout kwa nguvu haya yote yanatokana na furaha ya ajabu yaani unakua kama huamini vile kumbe nikweli
 

pamoja saana mkuu! !!!!!!!
 

pamoja saana mkuu ujumbe huu utamfikia
 
aisee kila siku najifunza kitu kipya....hivi kutangaza mpenzi wako/mkeo ana mimba ni vibaya!!! hivi dunia hii tunayoishi Diamond ndio mtu wa kwanza kutangaza mpenzi wake ana mimba??!!! nimejifunza kitu kipya leo.
 
atakuja kustuka ivan anachukua mtoto wake hao wanawake sio wa kuamini sana
 
aisee kila siku najifunza kitu kipya....hivi kutangaza mpenzi wako/mkeo ana mimba ni vibaya!!! hivi dunia hii tunayoishi Diamond ndio mtu wa kwanza kutangaza mpenzi wake ana mimba??!!! nimejifunza kitu kipya leo.
Unless kama anatangaza kwa ajili ya kutaka ku-prove kitu coz' hana sababu ya ku-prove kwa yeyote kwa chochote... it's his life awe ana uwezo wa kumpa mimba mwanamke au hana! Lakini ikiwa ametangaza si kwa ajili ya ku-prove chochote na kwa yeyote, binafsi sioni tatizo lolote... Diamond sio mtu wa kwanza na kamwe hatakuwa mtu wa mwisho kutangaza uja uzito wa mwandani wake! Tatizo hapa ni lile lile... kunya anye kuku, akinya bata kaharisha!!

Na hili la kutangaza mademu zake mie nampa big up... hataki unafiki wa wengine! Wasanii karibu wote ni malaya mbwa lakini wanataka kujifanya ni watakatifu mbele ya jamii lakini wanakuja kuumbuka baadae! Sioni sababu ni kwanini mtu ufiche mpenzi wako kama si kwamba unataka uwe unapiga show tofauti tofauti at the same time... wasikilize hata wengine wakati wanahojiwa... wakiulizwa wanatoka na nani, hawasemi kwa sababu wanajua wakisema ni kimbembe... huku kuna X, kule Y upande wa pili kuna Z... atamtaja nani!!! Matokeo yake anaishia kusema "nisingependa kumweka mpenzi wangu hadharani" X akisikia hivyo, anadhani ni yeye, hali kadhalika Y nae anadhani ni yeye na hivyo hivyo kwa Z... yaani tafrani mtindo mmoja!!!
 
Kibongobongo hata tukisafiri hatuagi ng'oo na hata kijijini kwenu siku unaondoka watu hawajui wanastukia siku ya tatu huonekani.

mi niliaga na walinisindikiza na mdundiko....mchawi mpe mtoto akulelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…