Diamond pumzika muziki kwa muda pepo mchafu apite!

Diamond pumzika muziki kwa muda pepo mchafu apite!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa Diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake

Namshauri kwa upepo unaoendelea let him mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
-Unaweza endelea na show ulaya na kwingineko nje ya Afrika maana huko matendo ya aina hiyo kwao ni ya kawaida.
 
Mziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!


Hakuna MTU anaweza kumshusha diamond hayupo na hatokuja kutokea
 
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
.Mbeya wametuheeshimisha mkomee
 
Back
Top Bottom