Diamond pumzika muziki kwa muda pepo mchafu apite!

Diamond pumzika muziki kwa muda pepo mchafu apite!

Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
😂😂😂🙉
Kwamba let her mute
 
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
Mond anatakiwa atumie vizuri huu upepo kujulikana zaidi na kufikia lile wazo lake la kua tajiri namba moja duniani japo upepo ni mchafu.
 
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
Let her or Him?
 
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
Let her mute ndo nini? Kwani we jamaa ungeandika kiswahili mwanzo mwisho ungeanguka kifafa au?
 
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa Diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake

Namshauri kwa upepo unaoendelea let him mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
Diamond aache shughuli zake kisa wapiga kelele?
 
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa Diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake

Namshauri kwa upepo unaoendelea let him mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
marinda yatarudi? na muziki wao mchafu huu wanachafua hadi nafsi za watoto na kuambukiza ujinga wao.
 
Back
Top Bottom