Huyu ni me au ke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni me au ke?
Huyu ni me au ke?
Burna boy kakanusha hizo taarifa on camera, why huyu mtoto wa kiCongo alielowea Tanzania hataki kwenda kukanusha?
Davido Grammy nominee, mwaka 2018 inasemeka alihang out na Didy kwa vipindi tofautiHata ungekuwa wewe umepakwa mafuta na Diddy ,ungekubali? We kuweza? Wale waliombaka Binti wa Yombo pamoja na kuonekana kwenye video lakini walikna sio wao sembuse Burna aliyepakwa mafuta gizani?
Matendo yapi tena mkuu 🤣🤣🤣-Unaweza endelea na show ulaya na kwingineko nje ya Afrika maana huko matendo ya aina hiyo kwao ni ya kawaida.
Mkuu,hapa una maanisha matendo gani hayo ambayo huko nje ya Africa kwao ni ya kawaida?-Unaweza endelea na show ulaya na kwingineko nje ya Afrika maana huko matendo ya aina hiyo kwao ni ya kawaida.
We ulikuwepo kwa PdidyHata ungekuwa wewe umepakwa mafuta na Diddy ,ungekubali? We kuweza? Wale waliombaka Binti wa Yombo pamoja na kuonekana kwenye video lakini walikna sio wao sembuse Burna aliyepakwa mafuta gizani?
Ulikuwepo hiyo sikuKwahiyo hao adui zake ndio waliombeba na kumpeleka kupakwa mafuta huko Marekani?
Alikuwepo Tale,Dainamo na mpiga picha.We ulikuwepo kwa Pdidy
Kwa hiyo unaungana na adui zake kuwa amepakwa mafuta na nabii Pdiddy?Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa Diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake
Namshauri kwa upepo unaoendelea let him mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
-Unaweza endelea na show ulaya na kwingineko nje ya Afrika maana huko matendo ya aina hiyo kwao ni ya kawaida.
Matusi ya nini sasa? Anyway siwezi jua makuzi yakoMaswali ya kiwaki, kwani wewe ni KU au MA?
Matusi ya nini sasa? Anyway siwezi jua makuzi yako
Kama unajua walikuwa hao hayo mambo ya kupuliana unayatoa wapiAlikuwepo Tale,Dainamo na mpiga picha.