Mkuu wewe ni mdau wakupumuliana?Matusi ya nini sasa? Anyway siwezi jua makuzi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ni mdau wakupumuliana?Matusi ya nini sasa? Anyway siwezi jua makuzi yako
Sio wadau ndio wanampa Kiki?Mke wa P didy hapo ndo anafurahi atembee na kiki 😹😹
Kwani ndiyo malezi yako hayo? Hapana aisee sikulelewa hukoMkuu wewe ni mdau wakupumuliana?
Kama sio kwanini unaleta hizo habari?Kwani ndiyo malezi yako hayo? Hapana aisee sikulelewa huko
Habari zip ambazo nimeleta mim? Mfano wewe ukiwa wa Diddy na mimi nikasema wew ni wa Diddy nitakuwa mimi ndiye nimeleta hizo habari au wewe ndiye umeanza kwa kuwa na DiddyKama sio kwanini unaleta hizo habari?
Aende wapi au kuna Kaimu Didy?Yaani awaogope kina domo kaya? Diamond just go, bado kidogo kuwa tajiri namba moja duniani.
Kama hauna hizo pigo na mhusika mwenyewe hakuna sehemu amesema amefanya huo mchezo kwanini ulazimishe amefanya?Habari zip ambazo nimeleta mim? Mfano wewe ukiwa wa Diddy na mimi nikasema wew ni wa Diddy nitakuwa mimi ndiye nimeleta hizo habari au wewe ndiye umeanza kwa kuwa na Diddy
Acheni kumpa promo Pdidy au na nyie mnapenda hiyo michezo?Aende wapi au kuna Kaimu Didy?
Wapi nimesema kafanya hivyo, ntasema kafanya wakati sikuwepo na muhusika hajasema. Hii inabaki kuwa tetesi tu kama tetesi nyingineKama hauna hizo pigo na mhusika mwenyewe hakuna sehemu amesema amefanya huo mchezo kwanini ulazimishe amefanya?
Asilimia 100% wanaomtajataja p diddy kwenye hizi mambo ujue hawana marinda na hiyo michezo wanaipendaAcheni kumpa promo Pdidy au na nyie mnapenda hiyo michezo?
Nakuunga mkono kwa asilimia zoteAsilimia 100% wanaomtajataja p diddy kwenye hizi mambo ujue hawana marinda na hiyo michezo wanaipenda
Hata iwe ni tetesi kama kitu huna interest nacho huwezi kukipa promoWapi nimesema kafanya hivyo, ntasema kafanya wakati sikuwepo na muhusika hajasema. Hii inabaki kuwa tetesi tu kama tetesi nyingine
Kuzungumzia kitu siyo kukipa promo. Sasa kama swala hilo mimi nikilipa promo ntafaidika na nini mkuu, simjui huyo mtu wa Diddy na wala yeye hanijui, hatuna ushindani wowote wala hatufanyi naye biashara yoyoteHata iwe ni tetesi kama kitu huna interest nacho huwezi kukipa promo
Na Akichukua Grammy si ndio itakuwa kithibitisho kabisaKabisa ukipita kwa didi lazima nyota ing'ae ma grammy kama yote
Hata yeye hiyo kiki anaipenda ya wadauSio wadau ndio wanampa Kiki?
Lukamba kaachia wimbo unaitwa Pdidy watu wanaenda na upepoHata yeye hiyo kiki anaipenda ya wadau
Kama unajua walikuwa hao hayo mambo ya kupuliana unayatoa wapi
Achana na kuumpa promo huyo mpuuzi na haya mambo mnatuharibia sikuUkiingia kwa Didi hautoki salama...Subiri list ya FBI ndiyo utajua haujui...CCTV Footage za Siri wanazo Feds.
Kuna cases 120 za DIDI zinanaandaliwa mashataka ,kati ya hao wanaume ni 60 wamepakwa WESE na DIDI...Kama Biba na Miki Miliz wamekiri ,kina Dainamo ni kina nani?