Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
Mmmmh.let her mute,
.Mbeya wametuheeshimisha mkomeeMuziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii, pengine ndilo lililopo katika ajenda ya maadui wake, namshauri kwa upepo unaoendelea let her mute, kwa kipindi fulani na akeshe studios kwa ajili ya utunzi wa Ngoma mpya!
Wakakimbia eeh!πsisi tulikula chakula baadae akaja jamaa akasema tupande chumbani kwa Didi tukakimbia
Kakosea TU huyoLet her mute?!
Kulikoni ndugu?
Kakosea TU huyo
Diamond is he not her
Kwa hiyo amekusudia uandishi wake whyBila yeye kusema hivyo unadhani inawezekana kumsemea?
Hata baada ya kumkumbusha umeona popote kuomba radhi au hapo marekebisho?
Kwa hiyo amekusudia uandishi wake why
Kabisa ukipita kwa didi lazima nyota ing'ae ma grammy kama yoteHakuna MTU anaweza kumshusha diamond hayupo na hatokuja kutokea
Taarifa zilizopo kwa freemason power zilizopo katika jumba lake ukiingia tu "Unapumbazwa ufahamu" infact ufahamu unaondoka, that's why hata watu wababe kama akina MIKE TYSON, walimuogopa sana tena sana!sisi tulikula chakula baadae akaja jamaa akasema tupande chumbani kwa Didi tukakimbia