Diamond punguza ku show off yako

Diamond punguza ku show off yako

Mawazo ya kimaskini bwana sa mtu ana ela ana uwezo kwanini asifanye
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
 
Wazungu wana msemo wao "If you have it, flaunt it'. Kama unacho kionyeshe. Sasa kama kafanya kazi kwa juhudi kwanini asionyeshe matunda yake. Acha wivu mkuu. Kama huna, huna tu hata akionyesha wewe hutopata kama hupaswi kupata. Pambana na hali yako ndugu.
 
Sema kuhonga zawadi zilizo nje ya uwezo uliona nao mleta mada maana kama kuhonga kila mtu anahonga kulingana na uwezo wake, wengine wanahonga gunia la mkaa
 
Hiyo ndio business model yake.
Anatengeneza pesa zaidi kwa kuonyesha persona iliyo expensive.

Ni strategy nzuri.

Hiyo ndio business model yake.
Anatengeneza pesa zaidi kwa kuonyesha persona iliyo expensive.

Ni strategy nzuri.
Mbona wafanyabiashara wakubwa hapa bongo pamoja na kuwa na matajiri kama Mo lakini huwezi kuona wanapost maisha yao ya anasa kwanini asiige ata mfano wa msanii ay pesa anazo lakini hapendi show off mafala wamekuja hapa kunivamia nimuonee wivu mimi ili iwaje nilikuwa natoa ushauri hivi mwenye hela ni diamond tu hapa bongo basi ningekuja na na wivu basi ningekuja kumuongelea mtu kama bahresa au mo mana wao ndio wenye hela zaidi ni mtazamo tu wadau tusijengeane chuki nimekuja na hoja na we njooo kwa hoja wadau sio mnakuja matusi hapa ningepata nafasi yakukuta naye ningemshauri lakini kama shabiki ndo mana nimeanzisha mada hapa mtu anaekushaur akupenda ndo mana sijatumia lugha yamatusi hapa sijui watu wamesoma nilichoandika sijasema hasihonge au hasiishi maisha ya anasa lakini nimesema sio kila jambo lazima apost mitandaoni kuwa kahonga gari ni mtizamo
 
Mbona wafanyabiashara wakubwa hapa bongo pamoja na kuwa na matajiri kama Mo lakini huwezi kuona wanapost maisha yao ya anasa kwanini asiige ata mfano wa msanii ay pesa anazo lakini hapendi show off mafala wamekuja hapa kunivamia nimuonee wivu mimi ili iwaje nilikuwa natoa ushauri hivi mwenye hela ni diamond tu hapa bongo basi ningekuja na na wivu basi ningekuja kumuongelea mtu kama bahresa au mo mana wao ndio wenye hela zaidi ni mtazamo tu wadau tusijengeane chuki nimekuja na hoja na we njooo kwa hoja wadau sio mnakuja matusi hapa ningepata nafasi yakukuta naye ningemshauri lakini kama shabiki ndo mana nimeanzisha mada hapa mtu anaekushaur akupenda ndo mana sijatumia lugha yamatusi hapa sijui watu wamesoma nilichoandika sijasema hasihonge au hasiishi maisha ya anasa lakini nimesema sio kila jambo lazima apost mitandaoni kuwa kahonga gari ni mtizamo
Umeambiwa na jamaa hapo The Dark Father kwamba hiyo ndio BUSINESS MODEL YAKE na kila mtu ana namna yake ya kuingiza fedha...Diamond amegundua kwamba siku hizi wengi mnapenda umbeya basi na yeye kupitia umbeya anaingiza fedha kwa kutengeneza tukio kama ilivyokuwa kwa Shigongo enzi zile hakuna mitandao ya kijamii ambapo aliuza sana magazeti ya udaku kutokana na watu kupenda shughuli za Kimbeyambeya
 
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Hizi ni tabia za kuwa mchawi kamili
 
Umeambiwa na jamaa hapo The Dark Father kwamba hiyo ndio BUSINESS MODEL YAKE na kila mtu ana namna yake ya kuingiza fedha...Diamond amegundua kwamba siku hizi wengi mnapenda umbeya basi na yeye kupitia umbeya anaingiza fedha kwa kutengeneza tukio kama ilivyokuwa kwa Shigongo enzi zile hakuna mitandao ya kijamii ambapo aliuza sana magazeti ya udaku kutokana na watu kupenda shughuli za Kimbeyambeya
Umbea sio umbeya🤝🤝
 
Sasa nyie maskini badala ya kulipa viingilio vya kwenda kumuona aki perform kwanini hamuchangi hela mkatafuta la kufanya. Kama wewe maskini umetoa hela yako kumpa yeye na unaendelea kufanya ivo, kinachokuuma nini? mnamchangia wenyewe alafu mnalalamika anpospend!
 
Mbona wafanyabiashara wakubwa hapa bongo pamoja na kuwa na matajiri kama Mo lakini huwezi kuona wanapost maisha yao ya anasa kwanini asiige ata mfano wa msanii ay pesa anazo lakini hapendi show off mafala wamekuja hapa kunivamia nimuonee wivu mimi ili iwaje nilikuwa natoa ushauri hivi mwenye hela ni diamond tu hapa bongo basi ningekuja na na wivu basi ningekuja kumuongelea mtu kama bahresa au mo mana wao ndio wenye hela zaidi ni mtazamo tu wadau tusijengeane chuki nimekuja na hoja na we njooo kwa hoja wadau sio mnakuja matusi hapa ningepata nafasi yakukuta naye ningemshauri lakini kama shabiki ndo mana nimeanzisha mada hapa mtu anaekushaur akupenda ndo mana sijatumia lugha yamatusi hapa sijui watu wamesoma nilichoandika sijasema hasihonge au hasiishi maisha ya anasa lakini nimesema sio kila jambo lazima apost mitandaoni kuwa kahonga gari ni mtizamo
Aah aah aah! Jibu takatifu umempa mtoa mada
 
Mwenzako anafanya vile na mambo mengine machafu machafu kwaajili ya kuendelea kuliteka soko ......

Kwa sababu anajua kuwa idadi kubwa ya wa tanzania imejaza watu wanaopenda kufuatilia mambo ya kijinga haswaa yanayo endelea huko mitandaoni ....
 
Back
Top Bottom