Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Hiyo ndio business model yake.
Anatengeneza pesa zaidi kwa kuonyesha persona iliyo expensive.
Ni strategy nzuri.
Mbona wafanyabiashara wakubwa hapa bongo pamoja na kuwa na matajiri kama Mo lakini huwezi kuona wanapost maisha yao ya anasa kwanini asiige ata mfano wa msanii ay pesa anazo lakini hapendi show off mafala wamekuja hapa kunivamia nimuonee wivu mimi ili iwaje nilikuwa natoa ushauri hivi mwenye hela ni diamond tu hapa bongo basi ningekuja na na wivu basi ningekuja kumuongelea mtu kama bahresa au mo mana wao ndio wenye hela zaidi ni mtazamo tu wadau tusijengeane chuki nimekuja na hoja na we njooo kwa hoja wadau sio mnakuja matusi hapa ningepata nafasi yakukuta naye ningemshauri lakini kama shabiki ndo mana nimeanzisha mada hapa mtu anaekushaur akupenda ndo mana sijatumia lugha yamatusi hapa sijui watu wamesoma nilichoandika sijasema hasihonge au hasiishi maisha ya anasa lakini nimesema sio kila jambo lazima apost mitandaoni kuwa kahonga gari ni mtizamoHiyo ndio business model yake.
Anatengeneza pesa zaidi kwa kuonyesha persona iliyo expensive.
Ni strategy nzuri.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅Wivu ni ugonjwa unaowatesa watu wengi, na mbaya zaidi mpaka sasa dawa iliyopatikana ni kusaga vyupa na kubwia
Umeambiwa na jamaa hapo The Dark Father kwamba hiyo ndio BUSINESS MODEL YAKE na kila mtu ana namna yake ya kuingiza fedha...Diamond amegundua kwamba siku hizi wengi mnapenda umbeya basi na yeye kupitia umbeya anaingiza fedha kwa kutengeneza tukio kama ilivyokuwa kwa Shigongo enzi zile hakuna mitandao ya kijamii ambapo aliuza sana magazeti ya udaku kutokana na watu kupenda shughuli za KimbeyambeyaMbona wafanyabiashara wakubwa hapa bongo pamoja na kuwa na matajiri kama Mo lakini huwezi kuona wanapost maisha yao ya anasa kwanini asiige ata mfano wa msanii ay pesa anazo lakini hapendi show off mafala wamekuja hapa kunivamia nimuonee wivu mimi ili iwaje nilikuwa natoa ushauri hivi mwenye hela ni diamond tu hapa bongo basi ningekuja na na wivu basi ningekuja kumuongelea mtu kama bahresa au mo mana wao ndio wenye hela zaidi ni mtazamo tu wadau tusijengeane chuki nimekuja na hoja na we njooo kwa hoja wadau sio mnakuja matusi hapa ningepata nafasi yakukuta naye ningemshauri lakini kama shabiki ndo mana nimeanzisha mada hapa mtu anaekushaur akupenda ndo mana sijatumia lugha yamatusi hapa sijui watu wamesoma nilichoandika sijasema hasihonge au hasiishi maisha ya anasa lakini nimesema sio kila jambo lazima apost mitandaoni kuwa kahonga gari ni mtizamo
Hizi ni tabia za kuwa mchawi kamiliKumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Umbea sio umbeya🤝🤝Umeambiwa na jamaa hapo The Dark Father kwamba hiyo ndio BUSINESS MODEL YAKE na kila mtu ana namna yake ya kuingiza fedha...Diamond amegundua kwamba siku hizi wengi mnapenda umbeya basi na yeye kupitia umbeya anaingiza fedha kwa kutengeneza tukio kama ilivyokuwa kwa Shigongo enzi zile hakuna mitandao ya kijamii ambapo aliuza sana magazeti ya udaku kutokana na watu kupenda shughuli za Kimbeyambeya
Cos diamond ni kipenzi cha watu lakini pia diamond anafanya kwa ajili ya kupata hela lakini wengine wanafanya for nothing hiyo ndio tofauti iliyopo.Hehehee comments zinafurahisha. Subiri afanye mwingine hivyo atasimangwaa balaa maneno tele. Raha ya kuwa mtanzania hii
Aah aah aah! Jibu takatifu umempa mtoa madanjia sahihi ya kuepuka kuwa mchawi ni kupunguza wivu
Mbona wafanyabiashara wakubwa hapa bongo pamoja na kuwa na matajiri kama Mo lakini huwezi kuona wanapost maisha yao ya anasa kwanini asiige ata mfano wa msanii ay pesa anazo lakini hapendi show off mafala wamekuja hapa kunivamia nimuonee wivu mimi ili iwaje nilikuwa natoa ushauri hivi mwenye hela ni diamond tu hapa bongo basi ningekuja na na wivu basi ningekuja kumuongelea mtu kama bahresa au mo mana wao ndio wenye hela zaidi ni mtazamo tu wadau tusijengeane chuki nimekuja na hoja na we njooo kwa hoja wadau sio mnakuja matusi hapa ningepata nafasi yakukuta naye ningemshauri lakini kama shabiki ndo mana nimeanzisha mada hapa mtu anaekushaur akupenda ndo mana sijatumia lugha yamatusi hapa sijui watu wamesoma nilichoandika sijasema hasihonge au hasiishi maisha ya anasa lakini nimesema sio kila jambo lazima apost mitandaoni kuwa kahonga gari ni mtizamo
Aah aah aah! Jibu takatifu umempa mtoa mada
Aah aah dah dada umeniongezea siku ya kuishi Leo.Wivu ni ugonjwa unaowatesa watu wengi, na mbaya zaidi mpaka sasa dawa iliyopatikana ni kusaga vyupa na kubwia
Nafurahi kusikia hivyo.Aah aah dah dada umeniongezea siku ya kuishi Leo.