Diamond punguza uhuni Zari ndio mwanamke sahihi kwako

Diamond punguza uhuni Zari ndio mwanamke sahihi kwako

Diamond fala kweli, Well i do have a feeling Zari alimpenda Dai kiukweli regardless alikuwa na maisha ya udangaji before kuolewa na Ivan na kisha kupata tabu katika uhusiano na Ivan,,,seems Zari hakuwa kwa furaha ama hawakuwa na chemistry ila alivumilia coz ya hela za jamaa.

At last Zari alijieungua kwa Ivan ili kufata mapenzi na amani ya moyo kwa Diamond ambaye pia alikuwa ameumizwa chemistry ikakubali na hatimae alipata amani. Inshort Zari ana amani sana akiwa kwa Diamond ingawa Diamond anazingua kuzaa zaa nje ila uzuri hamdanganyi Zari.

Mwanamke aliye komaa kiakili (understanding) above 30 yrs wengi ukiwa mkweli kwake na kuomba msamaha kama Gentleman anakusamehe hasa kwa ishu kama hizo. So Diamond kuachana na Zari sio rahisi these guys wana Chemistry
Zari awe tu mvumilivu maana dah inauma sana
 
Acha upumbavu wewe. Ivan walishindana kimapenzi lakini wakaendelea kuwa business partners. Nasibu kakutana na Zari wakati Zari hana mtu. Walishaachana tayari na ivan, wewe unalazimisha tu awe na ivan. Huna akili. Watu wangapi wanaachana na wenza wao kwa kutokuelewana na bado wakawa wazazi wazuri wa watoto wao?

Kwa dunia yako unadhani ndoa ni lazima? Kuna faida gani ya kuwa kwenye ndoa halafu kila siku mnagombana, kutukanana na kudhalilishana mbele ya watoto na public?

Huyo Hamisa amelala na wanaume wangapi kabla ya Mond? Kwa hiyo Mond alimkuta Bkira? Kinachohitajika ni kujiheshimu na kuheshimu mahusiano yenye misingi. Unapompata mtu mkapendana, mkaelewana na kuheshimiana ni vizuru kulinda hayo mahusiano kuliko kujiandiksha mali ya umma.

Zari mnamwita bibi, ana ubibi gani huyo binti mzuri tena ana akili kuliko hii michangudoa inayojilazimisha kwa wanaume hadi mitandaoni? Hamisa, kalazimisha mapenzi kwa nasibu, akamtegeshea ngono uzembe na tangu hapo akaanza kumpiga vita Zari, bila kkupita muda anatangaza mimba ya Mond!. Huoni kama huy siyo mwanamke zaidi ya uchawi?

Katika mischana ya sasa hivi hapa Bongo hakuna kama Zari kwa Diamond. Kinachowaponza ni ujinga, ushamba na ulimbukeni wa kipumbavu.

Zari ni mwanamke safi kwa Nasibu, akendelea kumchezea atatupa shiling chooni aieshi kuhangaika na mi KAHABA kama huyu hamisa. Mwanamke asiye haya wala mafunzo!.

Nasibu acha upumbavu wa kufanay ukahaba. Ukimpoteza Zari, utajuta maishani!
Umemaliza yote mkuu mond anatakiwa akue na aache ujinga ujinga
 
mwache DOMO afanye anachojiskia ndio tabu ya ku date na watoto wa uswahilin anahis nachokifanya ni sahihi kumbe ni udhalilishaji wa hali ya juu. kanikera sana Domo na kuanzia leo hii nipo team KIBA sihitaji kumshabikia mtu mjinga kama DOMO
 
Huyo kibibi wala usimuonee huruma cuz yeye ndio muhuni na ndio aliye sababisha husband wake kuwa na presha

Tukio la kumkimbia ivan alee watoto na yeye kwenda kumkimbilia kijana mdogo diamond ilukuwa ni tukio la kijinga na alifanya makusudi kumuumiza ivan

Kuna kipindi walikuwa wanapiga picha wakiwa nusu uchi bafuni nyingine chumbani mara d anamnyonya kwapa hiyo yote kumliza mmewe

Kumbe ivan alikuwa na machozi ya ndani ndani mwishowe hata utajiri wake hakuona faida yake presha ya mawazo ikamuondoa

So chozi la ivan ndilo linalomsumbua na kumtafuna zari

Yaani mwacheni wala msiingilie. Hicho kibibi kimebarikiwa akili ya kusaka hela lakini akili inayoendana na umri wake hakina

Duh
Umeandika kama vile unajua historia yao eeeh
Jiite mdaku muongo na gazeti lote hilo hujui ukweli zaidi ya kujaa wivu.
 
Back
Top Bottom