Diamond sasa mnyonyaji mpya mjini

Tatizo mnajadili na mapopoma , Kwa hii issue nasimama upande wa Mond, namuombea tu mambo yamwendee vizur anapo ji-regroup kuziba pengo la huyu ndege mjanja konde boy
 
nina uhakika hujasikiliza hio interview... umehadithiwa vijiweni huko..
 
Kwani yope Ni wimbo wake ??? Au hujui hata huko YouTube huu wimbo haupo kwenye account yake . Hii nchi imejaa wajinga Sana Kama wewe
Kama hujawahi ingia you tube, au umewahi na huijui you tube vizuri ni vema kubaki kimya. Hapa ni kuonyesha umma level ya ujinga wako.
 
Watanzania bado sana kwenye masuala ya biashara asee Harmo kapewa support sana chibu kaumia sana kumuinua huyu jamaa nyimbo ya kwanza kanunuliwa mpaka boxer kwenda kufanya shooting south.
Kwenye bado alianguka na pikipiki tena sio hizi boxer [emoji3] ikaharibika chibu akalipa dogo alikua na pumbu tu pale. Ndani ya miaka 3 ana nyumba 3 na ndinga na biashara asee hio 500m ndogo sana jamaa kafanya kishkaji tu.
 
Mi nilifikiri kawadhulumu kumbe issue za kuvunja mkataba...kwani walikuwa hawajui au hawakusoma mikataba yao?
 
Hata Mond mwenyewe kuna ambao walimtoa jalalani Tandale had pale alipo, hakuna aliyefika juu bila kusaidiwa,.nadhan tuongelee mikataba yao, ila kuhusu kusaidiwa hata yeye kufika pale alipo alisaidiwa
 
Hata Mond mwenyewe kuna ambao walimtoa jalalani Tandale had pale alipo, hakuna aliyefika juu bila kusaidiwa,.nadhan tuongelee mikataba yao, ila kuhusu kusaidiwa hata yeye kufika pale alipo alisaidiwa
Tatizo huyo harmonize anaonekana kama amefanyiwa unyonyaji wakati aliyataka mwenyewe kusign mkataba akiwa na akili timamu
 
Msikilize Master J labda utaokota jambo
 
Nakupa na hii kabla Chibu hamjua Konde Boy
Vip Mond ni mnyonyaji au mtengeneza mafanjkio..?
 
Kaka haujui biashara ya Music,
Hiyo 500M ni ndogo sana kulinganisha na pesa ambayo mond ameweka na hawa wasanii hawana shukrani
Hata Mond mwenyewe kuna ambao walimtoa jalalani Tandale had pale alipo, hakuna aliyefika juu bila kusaidiwa,.nadhan tuongelee mikataba yao, ila kuhusu kusaidiwa hata yeye kufika pale alipo alisaidiwa
 
Ulikuwepo?
 
Wewe ulitaka awatoze sh ngapi?

Ila kuna watu ni wajinga sana !

Unafahamu lolote kuhusu mikataba ?

Unajua yeye diamond katumia sh ngapi mpaka watu hao wakakubalika na jamii


Narudia tena hili swali unajua lolote kuhusu mikataba ?
Ruge aliyekuwa anasemwa mnyonyaji alikuwa hatumii gharama zake kuwapandisha hao wasanii??
 
Wanacholalamika wadau hapa ni double standard.

Ruge alitukanwa na kusemwa sana.. yeye kwani alikuwa hatumii gharama kumtengeneza msanii anayemuona ana kipaji na kuuzika?
 
Ushahid uko wap?
 
Ruge aliyekuwa anasemwa mnyonyaji alikuwa hatumii gharama zake kuwapandisha hao wasanii??
Ishu za ruge sizijui

Kama unazijua ziweke hapa

Wala hapa sipo ku justify kati ya ruge na mondi who is better

Na deal na huyu mleta mada aliyeleta mada ya kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…