Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaposema mwanamke kweli unamaanishaa ninii,???
Diamond ameshaona kama anatambulika kimataifa hii ndiyo sababu kuu..Kwa hivyo basi..
1. Ili jina lake lizidi kupaa atahitaji kuwa na Mbebs kutoka Nje.. Akitokea USA itakua vizuri zaidi..Hata katika mahojiano kasema hakuamini kumuona Rihana amekaa Nyuma yake..
2.Anathamini Sifa kuliko Maisha halisi..Hili tatizo liko kwa watoto wengi kutoka Uswazi..
3.Wema ana Umaarufu wa magazeti na siyo Kutokana na kazi zake ..Hivyo Msaada wa Wema ni mdogo Anga za Kimataifa..
4.Ametambua thamani yake baada ya BET ..
5.Kidume yeyote anatamani kuwa na Mke ambaye hajachezewa sana...Hasa ikiwa wachezeaji unawajua...Mbaya zaidi wakuzidi kipato..
Haya ni Mawazo yangu tu..Ni kawaida kabisa Mtu akinunua Shati jipya..Anaona suruali imechakaa..Diamond wa sasa siyo yule wa Tandale..Pole sana Wema.
nchi haiwezi kuendelea kama mtaendelea na upuzi huu wa kujadili watu.. acheeeeni ujuha. yako mengi yakufanya ..
tuuche upuuziii, huu ni ujuha . kufikiria maisha ya watu ni utumwa wa mawazo.. acheeni maisha ya watu nchi iiendeleeee...fanye kazi ..
Bora usi-commet kwasababu kuamini habari za kwenye magazeti ya udaku inabidi ujitoe ufahamu. Habari huwa ni za kupika.
tuuche upuuziii, huu ni ujuha . kufikiria maisha ya watu ni utumwa wa mawazo.. acheeni maisha ya watu nchi iiendeleeee...fanye kazi ..
tuuche upuuziii, huu ni ujuha . kufikiria maisha ya watu ni utumwa wa mawazo.. acheeni maisha ya watu nchi iiendeleeee...fanye kazi ..
Wakati bimkumbwa Wema Sepetu akijiaminisha kua ni mke mtarajiwa wa msanii Diamond platnum
Platnum kafunguka na kusema hafikiriii kuoa, Mama ubaya tumbo jotroooo na pete yake ya ndoa aliyojivisha mbona kazi ipo
WAHENGA WANASEMA "KUPENDA SIO KAZI ,KAZI NI KUMPATA ANAEKUPENDA"
TEAM Wema kazi kwenu kumshauri na kumsifia madame wenu kajiwekesha na kujiaminishaa halaf mwanaume anaongea hadharan kua hafikirii kuoa kwa hiyo yupo na Wema kwa muda tu ndio maana hiyo atii"!!!
,,,,team wema mtaponda mawe lakin shemeji yenu ndio hiyooo,,,,,,,
Source : ijumaa