Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Mmmh naombea tu yeye na manara wakichokwa watimuliwe. Yanga hatupendi vigeugeu
Namuhitaji sana... Maana mie na yeye tuko pamoja Younga Afrika lialia...

Ila mimi ni lialia wa Diamond.. ila yeye na Diamond ni kama paka na panya..
Sasa mi nataka nimuamishe tu aje tu..tuwe nae.. NIMUOE..
😂😅🤣💯
 
Unawajua vzr wasanii wewe!! Alisema hivo tu kwa sababu furaha ya perfomance yske ilimzidi ila moyoni huyo kijana ni Simba.
 
Unawajua vzr wasanii wewe!! Alisema hivo tu kwa sababu furaha ya perfomance yske ilimzidi ila moyoni huyo kijana ni Simba.
Mond alisema yeye mambo ya soka .....haelewi so alikuwa influenced na manara pale simba
 
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.

"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.

#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.

Wote ni wananchi

Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295
Huna Madhara kwa SIMBA kwani wewe ndio unaihitaji Simba Simba ilikuwa haikujui kabisa
 
Back
Top Bottom