Sasa wewe ndio umenifumbuwa macho ni kwa nini Baba Revo ndio Chawa pro max wa Diamond.Wamanyema hua wanapendana popote wanapokua, hao akina kirumbe ng’enda, zamaradi, diamond, rommyjones, Zitto, Asha baraka, mwijakuzi, kaseja, kiba, manara na wengine wengi wanajuana vyema
Mwambino ndio kitu gani?Mwambino na mpira ni mbingu na ardhi, walau Ali Kiba anaupenda na kufuatilia michezo.
Mshabiki wa kweli hawezi kupuyanga kama huyo Mwambino.
Amempa kipa wa Yanga Zawadi ya dollar 4200 sawa na tshillings millioni 10, hebu tufafanulie hapa upigaji wake.mond mpiga hela,kama huyo manara wake.
Ahahhahah dah na mm mwenyewe najiuliza kitu gani hchoMwambino ndio kitu gani?
hapo stejini kapanda bure?Amempa kipa wa Yanga Zawadi ya dollar 4200 sawa na tshillings millioni 10, hebu tufafanulie hapa upigaji wake.
Kweli kabisa.Wamanyema hua wanapendana popote wanapokua, hao akina kirumbe ng’enda, zamaradi, diamond, rommyjones, Zitto, Asha baraka, mwijakuzi, kaseja, kiba, manara na wengine wengi wanajuana vyema
Huna Mchango wowote ndani ya SIMBA kikubwa hana Akili kwahiyo ameamua kuwafuata Mburula wenzake. Nenda ukafuate Marinda ya Msukule huko huko MafurikoniDiamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.
"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.
#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.
Wote ni wananchi
Wanasimba Sasa
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295
Sizitaki Mbichi hizi...akajisemea SunguraHakuwa anachangia chochote Simba. Hajawahi kutumia Ushawishi wake mashabiki wajae uwanjani. Hakuwahi kuchangia chochote.
Tunamtakia kila la kheri.