Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Acheni ujinga wa kuchotwa akili na hawa wajinga wajinga wanaolimia matumbo yao huku ninyi mnakufa kwa ufukara. Nchi inauzwa kwa waarabu hii hawa wametumwa kuwazubaisha ili mwarabu apewe nchi.
 
Wala hata.
Namuhitaji sana... Maana mie na yeye tuko pamoja Younga Afrika lialia...

Ila mimi ni lialia wa Diamond.. ila yeye na Diamond ni kama paka na panya..
Sasa mi nataka nimuamishe tu aje tu..tuwe nae.. NIMUOE..
πŸ˜‚πŸ˜…πŸ€£πŸ’―
 
"Tunaomba Diamond asiendelee kutumia jina la 'SIMBA' maana kahama timu". Ilisikika sauti ya mlevi flani.

Bendera fata upepo.
 
Namuhitaji sana... Maana mie na yeye tuko pamoja Younga Afrika lialia...

Ila mimi ni lialia wa Diamond.. ila yeye na Diamond ni kama paka na panya..
Sasa mi nataka nimuamishe tu aje tu..tuwe nae.. NIMUOE..
[emoji23][emoji28][emoji1787][emoji817]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii tupuuu.
 
Acheni ujinga wa kuchotwa akili na hawa wajinga wajinga wanaolimia matumbo yao huku ninyi mnakufa kwa ufukara. Nchi inauzwa kwa waarabu hii hawa wametumwa kuwazubaisha ili mwarabu apewe nchi.
Unajuaje kuwa sisi ni maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…