Uzuri mimi hata kwnye maisha ya kawaida sinaga pressure..najua kuhandle mambo..Pressure zikidhidi utakuja niomba card ya uanachama wa Yanga
Mkuu mbona kwani shida ni sie..Utopolo ni malimbukeni mno mno mnooooooo
Ingineni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri tuungie studio....
Acheni ujinga wa kuchotwa akili na hawa wajinga wajinga wanaolimia matumbo yao huku ninyi mnakufa kwa ufukara. Nchi inauzwa kwa waarabu hii hawa wametumwa kuwazubaisha ili mwarabu apewe nchi.Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.
"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.
#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.
Wote ni wananchi
Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anakujaaa
Hawa wanazubaisha wananchi ili nchi iuzwe kwa waarabu. Ni ujinga kufuatilia mambo ya aina hii.Unawezaje kuhama timu mpenzi na shabiki wa kweli?
Au kama ww ndo yeye niambie tu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anakujaaa
Wala hata.Au kama ww ndo yeye niambie tu..
Namuhitaji sana... Maana mie na yeye tuko pamoja Younga Afrika lialia...Wala hata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii tupuuu.Namuhitaji sana... Maana mie na yeye tuko pamoja Younga Afrika lialia...
Ila mimi ni lialia wa Diamond.. ila yeye na Diamond ni kama paka na panya..
Sasa mi nataka nimuamishe tu aje tu..tuwe nae.. NIMUOE..
[emoji23][emoji28][emoji1787][emoji817]
Hawa ndiyo washabiki Malaya Malaya.Unawezaje kuhama timu mpenzi na shabiki wa kweli?
ThubutuuuuNjoo WCB hapa uwe video vixen