Diamond umemkosea nini Majizo na E-FM mbona hawachezi nyimbo zenu?

Hivi
Diamond amemkosea nini majizo?
Ni Diamond pekee hakujaza hizo fomu?
 
Huu ni uongo mwanzo mbona walikuwa wanapiga? na mbona kuna radio zinapiga na linatajwa? sema tuu wamiliki wana chuki sana

Nikweli zipo redio zinazopiga nyimbo zao, ni matakwa yao, nionachomimi hizo redio zilizotajwa zinatafsiri kama ni kupromoti Wasafi. Wakati huo walikuwa hawajaanzisha Vituo vya Redio na Televisheni. Kwa sasa hiyo ni Brand.
 
Kuna wimbo mmoja ametoa Dulla Makabila, unaitwa "Kisimu changu" sehemu ameimba ni mwendo wa Savanna, akarudia tena ......ni mwendo wa Safari. Wimbo huohuo kwa Clouds ikifikia hapo wanazuia yasisikike maneno lkn kwa EFM wao wanaachia maneno yasikike. Tafsiri fupi kwa Clouds ni Brand kwa EFM ni ujumbe.

Pia huku mikoani kuna wimbo mmoja katika mashairi ametajwa Joseph Kusaga, huo wamefuta isisikike.
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji120][emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au tujiulize wote, kwanini michuano ya Ndondo Cup haipati kurushwa hewani na redio zote?
 
kama ni kweli basi hao Wasafi walionyesha dharau
 
vinyimbo vya Mario hapo ndio ulipoharibu mkuu japo ulikua na hoja nzuri. Jaribu kuonyesha heshima kwa wasanii wengine Marioo ni msanii mzuri pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…