Diamond unafanya kazi kubwa ila kwa hili la Mavoko na video ya Kokoro umebugi

Diamond unafanya kazi kubwa ila kwa hili la Mavoko na video ya Kokoro umebugi

Ahhahahahha naona kokoroo imevuruga hali ya hewa......


Wimbo saaafi.....
 
We umedirect video zipi
Copy
1479880610277.png

Paste
1479880632354.png
 
3abed8015b871101a2c8125d900b486c.jpg


Jioni ya jumanne imetoka video mpya ya msanii mwingine wa WCB RICH MAVOKO akiwa amemshirikisha bosi wake Diamond Platinumz unaofahamika jina la KOKORO kimsingi mimi [HASHTAG]#kijanamzalendo[/HASHTAG] sijaelewa Audio kabisa ila kwa Video tu hawa jamaa huwa hawawezekani bongo ukilingamisha na wasanii wengine.

Nilichokigundua katika hii video ni kwamba haijalenga soko la ndani labda NIGERIA na SOUTH lakini sidhani wabongo kama tutaielewa au labda tulazimishwe na nguvu ya media na kulazamisha kumunua watazamaji ili tuone inafanya vizuri pia naifananisha na nyimbo ya Diamond FT Iyanya kiukweli KIBONGO ilibuma ila NIGERIA ikatusua so ngoja tusubirie labda ndo mikakati ya WCB kumfanya MAVOKO mwakani aingie tuzo za kimataifa.

Nilichokiona katika video kumekuwa na mrudio wa Rangi kila video mfano RANGI na NYEUPE kila baadhi nyimbo ya WCB Hwa hazikosi mfano [HASHTAG]#BADO[/HASHTAG] [HASHTAG]#IBAKISTORY[/HASHTAG] [HASHTAG]#MUGHACHERERE[/HASHTAG] [HASHTAG]#INDE[/HASHTAG] [HASHTAG]#NATAFUTAKIKI[/HASHTAG] [HASHTAG]#KOKORO[/HASHTAG] au ndo officially Rangi zao waseme basill lakini pia kuna zile seen za Kukaa kwenye kochi kila [HASHTAG]#NYIMBO[/HASHTAG] lazima iwepo sijui mtoa idea huwa anakua mmoja tu

Kimsingi Natambua mchango wa DIAMOND katika kuinua Muziki wa TZ lakini kwa hapa umeniangusha umekuwa ukitumia gharama kubwa kuwekeza katika Video lakini hakuna ubunifu zaidi ya mrudio wa Rangi na Shot na content ndio maana hata video zetu hazingiagi kipengele cha video bora kwenye tuzo za nje.

Ushauri kwa wasanii wengine pia tubadilike kwa kuwa wabunifu kimuziki lakini kufahamu mashabiki wanahitaji nini kwa kulingana na muda

[HASHTAG]#kijanamzalendo[/HASHTAG] [HASHTAG]#ilovetz[/HASHTAG] [HASHTAG]#maoniyangu[/HASHTAG]
Naskia eti kifesi alienda WCB hajui kupiga picha....wewe kwa ulivyochambua rangi unaweza kuja kuwa director mkubwa Africa na duniani mcheki baba Tifa..... If you can't beat them join them
 
mashairi ya kuungaunga.eti anasifia Hyundai na mwanamke mwenye lips nyembamba! na kuingiza bifu na kiba kwa kusema labda sallam pale penye chenga ni utoto mkubwa. ngoja nikasikilize zangu singeli.
Sikiliza tu...Kipenda roho
 
Hivi kumkosoa ni dhambi au yeye kila anachofanya ni perfect,acheni ushamba
 
Silent hater
mashairi ya kuungaunga.eti anasifia Hyundai na mwanamke mwenye lips nyembamba! na kuingiza bifu na kiba kwa kusema labda sallam pale penye chenga ni utoto mkubwa. ngoja nikasikilize zangu singeli.
 
Hivi kumkosoa ni dhambi au yeye kila anachofanya ni perfect,acheni ushamba
Kwakwel kukosoa sio dhambi hata muhusika alisemag anapenda ivyo ndo anapata kiki zaidi ila sema watu wanakosoa vingine ata havikosoleki asa unaanzaje kukosoa rangi kwa mfano.
 
Asante kwa kuongeza viewers, angalau umesikiliza mpaka mwisho. Shukran sana, uwe na moyo huo huo team kiba

mashairi ya kuungaunga.eti anasifia Hyundai na mwanamke mwenye lips nyembamba! na kuingiza bifu na kiba kwa kusema labda sallam pale penye chenga ni utoto mkubwa. ngoja nikasikilize zangu singeli.
 
Ni kweli anarudia ila watu wanampenda tuuu...

Tatizo ni nyotaaaaaaaaa!!

Sasa wewe kama unanyota ya matembele..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom