Diamond unapondwa lakini naona Wasafi Media zimewakaba koo watesi wako. Rekebisha mapungufu machache tuizike Clouds

Diamond unapondwa lakini naona Wasafi Media zimewakaba koo watesi wako. Rekebisha mapungufu machache tuizike Clouds

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
276
Reaction score
549
Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale Wasafi Media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi kupepea na wasafi fm

1. Sports Arena na Sports Court pale ubunifu uliopo naona tayari ushakata pumzi ya kina Shafii na makanjanja uchwara pale clouds wanafki wasiojua chochote kuhusu soka ila kwa weekend kama ya jumamosi kuwepo na kipind cha michezo hata mchana yaan Saturday arena ili jumamosi tusiiache bila waskilizaji

2. Zembwela aongeze ubunifu sana anakuwaga na kelele na mada ambazo hazivutii mtu kuona asubuhi ni tamu kwa kusikiliza kipindi hicho ila wengine kwa asubuhi wako super hvo mumrekebishe tu Zembwela utakua umeua ile power break fast ya mawngu

3. Dida na timu yake pale hakuna shaka ila the switch dah Mshana kama kapwaya sana ila cha msingi tafuta ubunifu wa kupachika visegment vitamu ndani ya the switch ili kinoge na wapunguze story za Ulaya na wasanii wa Marekani kwa wingi.

4. Tafuta watangazaji wako ambao utawapika kwa miiko ya timu yako kama ulivyompika zuchu, achana na kusajili sana hawa waswahili kutoka hayo ma media uchwara, mfano Jonijo. Me naamini Simba kunavipaji vingi sana vya watangazaji wazuri huku mtaani.
 
Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale wasafi media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi kupepea na wasafi fm

1. Sports Arena na Sports court pale ubunifu uliopo naona tayari ushakata pumzi ya kina shafii na makanjanja uchwara pale clouds wanafki wasiojua chochote kuhusu soka ila kwa weekend kama ya jumamosi kuwepo na kipind cha michezo hata mchana yaan Saturday arena ili jumamosi tusiiache bila waskilizaji

2. Zembwela aongeze ubunifu sana anakuwaga na kelele na mada ambazo hazivutii mtu kuona asubuhi ni tamu kwa kusikiliza kipindi hicho ila wengine kwa asubuhi wako super hvo mumrekebishe tu Zembwela utakua umeua ile power break fast ya mawngu

3. Dida na timu yake pale hakuna shaka ila the switch dah mshana kama kapwaya sana ila cha msingi tafuta ubunifu wa kupachika visegment vitamu ndani ya the switch ili kinoge na wapunguze story za Ulaya na wasanii wa Marekani kwa wingi.

4. Tafuta watangazi wako ambao utawapika kwa miiko ya timu yako kama ulivyompika zuchu, achana na kusajili sana hawa waswahili kutoka hayo ma media uchwara, mfano Jonijo. Me naamini Simba kunavipaji vingi sana vya watangazaji wazuri huku mtaani.
Hata mi naona hapa ndo paziri aachane na kusajili hawa wanaojulikana aje watangazaji wapya na ubunifu mpya vipaji mbna vipo vingi tuu

yess BishOoo haSwaaaaaaaH[emoji111]
 
Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale wasafi media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi kupepea na wasafi fm

1. Sports Arena na Sports court pale ubunifu uliopo naona tayari ushakata pumzi ya kina shafii na makanjanja uchwara pale clouds wanafki wasiojua chochote kuhusu soka ila kwa weekend kama ya jumamosi kuwepo na kipind cha michezo hata mchana yaan Saturday arena ili jumamosi tusiiache bila waskilizaji

2. Zembwela aongeze ubunifu sana anakuwaga na kelele na mada ambazo hazivutii mtu kuona asubuhi ni tamu kwa kusikiliza kipindi hicho ila wengine kwa asubuhi wako super hvo mumrekebishe tu Zembwela utakua umeua ile power break fast ya mawngu

3. Dida na timu yake pale hakuna shaka ila the switch dah mshana kama kapwaya sana ila cha msingi tafuta ubunifu wa kupachika visegment vitamu ndani ya the switch ili kinoge na wapunguze story za Ulaya na wasanii wa Marekani kwa wingi.

4. Tafuta watangazi wako ambao utawapika kwa miiko ya timu yako kama ulivyompika zuchu, achana na kusajili sana hawa waswahili kutoka hayo ma media uchwara, mfano Jonijo. Me naamini Simba kunavipaji vingi sana vya watangazaji wazuri huku mtaani.
Nia sio kuzika nia ni ushindani at the end of the day kuwe na wigo mpana wa burudani.
 
Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale wasafi media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi kupepea na wasafi fm

1. Sports Arena na Sports court pale ubunifu uliopo naona tayari ushakata pumzi ya kina shafii na makanjanja uchwara pale clouds wanafki wasiojua chochote kuhusu soka ila kwa weekend kama ya jumamosi kuwepo na kipind cha michezo hata mchana yaan Saturday arena ili jumamosi tusiiache bila waskilizaji

2. Zembwela aongeze ubunifu sana anakuwaga na kelele na mada ambazo hazivutii mtu kuona asubuhi ni tamu kwa kusikiliza kipindi hicho ila wengine kwa asubuhi wako super hvo mumrekebishe tu Zembwela utakua umeua ile power break fast ya mawngu

3. Dida na timu yake pale hakuna shaka ila the switch dah mshana kama kapwaya sana ila cha msingi tafuta ubunifu wa kupachika visegment vitamu ndani ya the switch ili kinoge na wapunguze story za Ulaya na wasanii wa Marekani kwa wingi.

4. Tafuta watangazi wako ambao utawapika kwa miiko ya timu yako kama ulivyompika zuchu, achana na kusajili sana hawa waswahili kutoka hayo ma media uchwara, mfano Jonijo. Me naamini Simba kunavipaji vingi sana vya watangazaji wazuri huku mtaani.
Ukiona media kubwa inachukua mtangazaji kutoka kwa media changa na wakafanya sherehe ujue kweli umewabana kende....
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
 
Punguza chuki Mina aly
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama Clouds ni makanjanja kwa nini unawachukulia kama standard?.


Wasafi wafanye yao,watu wagawane wasikilizaji wao wapige pesa..Na ili pia tutangaze tamaduni zetu ni lazima tuwe na Media kubwa nyingi..EPL ni maarufu sana,na media za UK zinamchango kubwa kwenye hili
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
We pimbi kila post Diamond upo.
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Umemaliza kufua chupi za Zabibu kiba?
 
Back
Top Bottom