Diamond unapondwa lakini naona Wasafi Media zimewakaba koo watesi wako. Rekebisha mapungufu machache tuizike Clouds

Diamond unapondwa lakini naona Wasafi Media zimewakaba koo watesi wako. Rekebisha mapungufu machache tuizike Clouds

Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale Wasafi Media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi kupepea na wasafi fm

1. Sports Arena na Sports Court pale ubunifu uliopo naona tayari ushakata pumzi ya kina Shafii na makanjanja uchwara pale clouds wanafki wasiojua chochote kuhusu soka ila kwa weekend kama ya jumamosi kuwepo na kipind cha michezo hata mchana yaan Saturday arena ili jumamosi tusiiache bila waskilizaji

2. Zembwela aongeze ubunifu sana anakuwaga na kelele na mada ambazo hazivutii mtu kuona asubuhi ni tamu kwa kusikiliza kipindi hicho ila wengine kwa asubuhi wako super hvo mumrekebishe tu Zembwela utakua umeua ile power break fast ya mawngu

3. Dida na timu yake pale hakuna shaka ila the switch dah Mshana kama kapwaya sana ila cha msingi tafuta ubunifu wa kupachika visegment vitamu ndani ya the switch ili kinoge na wapunguze story za Ulaya na wasanii wa Marekani kwa wingi.

4. Tafuta watangazaji wako ambao utawapika kwa miiko ya timu yako kama ulivyompika zuchu, achana na kusajili sana hawa waswahili kutoka hayo ma media uchwara, mfano Jonijo. Me naamini Simba kunavipaji vingi sana vya watangazaji wazuri huku mtaani.
Tatizo watoto wa mtaani wote wanawaiga akina B Dozen na mwenzie Mchomvu. Watu wanatakiwa wawe na vipaji real ili kuleta ladha tofauti kabisa.
 
Kiukweli wasafi media cjawahi sikiliza kabisaa, ila kwenye power breakfast kuna yule mtoto mama lao Barbra hassani ananikosha sana. Big ups kwa ile team,
Kama nikiwa boared bora nisikilize waasisi wa singeli E-fm kuna hando
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Dida una matatizo wewe!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa diamond ndio hao hao mashabiki wa wasafi fm. Kwa kifupi wasafi media n km mwanafunzi wa form1. Ajitahidi angalau amalize Olevel. Kumfananisha na cloud ni utindio wa akili
 
Yani niache kumskiliza mchambuzi bora wa michezo Oscar Oscar et nikamskilize Rikadomomo.. takuwa na utindio wa akili😂😂
Kwanini umemchagua Ricardomomo na si George ambangile au edo kumwembe?
 
Mashabiki wa diamond ndio hao hao mashabiki wa wasafi fm. Kwa kifupi wasafi media n km mwanafunzi wa form1. Ajitahidi angalau amalize Olevel. Kumfananisha na cloud ni utindio wa akili
Tena awe Makini asije akachapwa mimba masomo yakamshinda
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
MBONA UNATUMIA NGUVU NYINGI SANA? HUU MUDA UNAOPOTEZA UTAKUJA KUUJUTIA BAADAE
 
Mpinzani wa clouds n Ea radio
Diamond ni one of the top artist in Africa n WCB is a top Music leble in Africa ila kuhusu wasafi naona bado wazidi kupambana
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Mie nikiona comments zako huwa najisikia burudaniiiiiii. Uwiiiiiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...YAANI MNGEJUA HAKUNA BIFU NA ZOTE REDIO MMILIKI MWENYE SHARE HOLDER KUBWA NI MMOJA MSINGEPOTEZA NGUVU ZENU KUBISHANA YAANI KUNA WATU KWENYE MARKETING STRATEGICS WAJANJA SANA ILO NI BIFU BIASHARA


ANYWAY WABONGO TUNAENDESHWA TU
 
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote

2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..

3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..

The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu

4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..

hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]

huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba

[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Ukweli mtupu leo tena na jahazi ni vipindi bora kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom