Tafuta hela mzee acha kupiga poyoyoJuma Lokole Nimemaliza, nataka nije kukufukua tope osha huo mtaro niukute msafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela mzee acha kupiga poyoyoJuma Lokole Nimemaliza, nataka nije kukufukua tope osha huo mtaro niukute msafi
Tatizo watoto wa mtaani wote wanawaiga akina B Dozen na mwenzie Mchomvu. Watu wanatakiwa wawe na vipaji real ili kuleta ladha tofauti kabisa.Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale Wasafi Media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi kupepea na wasafi fm
1. Sports Arena na Sports Court pale ubunifu uliopo naona tayari ushakata pumzi ya kina Shafii na makanjanja uchwara pale clouds wanafki wasiojua chochote kuhusu soka ila kwa weekend kama ya jumamosi kuwepo na kipind cha michezo hata mchana yaan Saturday arena ili jumamosi tusiiache bila waskilizaji
2. Zembwela aongeze ubunifu sana anakuwaga na kelele na mada ambazo hazivutii mtu kuona asubuhi ni tamu kwa kusikiliza kipindi hicho ila wengine kwa asubuhi wako super hvo mumrekebishe tu Zembwela utakua umeua ile power break fast ya mawngu
3. Dida na timu yake pale hakuna shaka ila the switch dah Mshana kama kapwaya sana ila cha msingi tafuta ubunifu wa kupachika visegment vitamu ndani ya the switch ili kinoge na wapunguze story za Ulaya na wasanii wa Marekani kwa wingi.
4. Tafuta watangazaji wako ambao utawapika kwa miiko ya timu yako kama ulivyompika zuchu, achana na kusajili sana hawa waswahili kutoka hayo ma media uchwara, mfano Jonijo. Me naamini Simba kunavipaji vingi sana vya watangazaji wazuri huku mtaani.
1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote
2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..
3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..
The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu
4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..
hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]
huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba
[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Clouds haifi, ni jiwe kuuu la pembeni. Lime set standards, na lenyewe ndo kipimo cha ubora
Dida una matatizo wewe!!!1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote
2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..
3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..
The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu
4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..
hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]
huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba
[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Kwanini umemchagua Ricardomomo na si George ambangile au edo kumwembe?Yani niache kumskiliza mchambuzi bora wa michezo Oscar Oscar et nikamskilize Rikadomomo.. takuwa na utindio wa akili😂😂
Tena awe Makini asije akachapwa mimba masomo yakamshindaMashabiki wa diamond ndio hao hao mashabiki wa wasafi fm. Kwa kifupi wasafi media n km mwanafunzi wa form1. Ajitahidi angalau amalize Olevel. Kumfananisha na cloud ni utindio wa akili
Suala la muda tuClouds haifi, ni jiwe kuuu la pembeni. Lime set standards, na lenyewe ndo kipimo cha ubora
MBONA UNATUMIA NGUVU NYINGI SANA? HUU MUDA UNAOPOTEZA UTAKUJA KUUJUTIA BAADAE1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote
2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..
3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..
The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu
4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..
hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]
huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba
[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
Mie nikiona comments zako huwa najisikia burudaniiiiiii. Uwiiiiiiiiih1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote
2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..
3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..
The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu
4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..
hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]
huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba
[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi
[emoji1666]Mie nikiona comments zako huwa najisikia burudaniiiiiii. Uwiiiiiiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mi mwenzenu hiyo WASAFI huwa sina mzuka nayo kabisa. Hata sielewi kwanini.
Sio tangazo ni matangazo lukuku cloudz wabunifu na ndio redio ninayo isikiliza.. haswa jahazi na leo Tena navikubali mnooClouds ipo na itaendelea kuwepo.... Makampuni yanalijua hili we angalia kila kipindi kila section ina tangazo, wenye makampuni wanajua hili
Ukweli mtupu leo tena na jahazi ni vipindi bora kwangu1. Sports Arena na Sports court.. Hiki ni Copy ya Sports HQ kutoka pale E-Fm kudhiilisha hili mpaka watangazaji walibebwa ili ku-paste vizuri, so hakuna ubunifu wowote
2.Hakuna mtu mwenye akili timamu ataacha kusikiliza power break fast na Clouds 360 eti vipindi vyenye watangazaji mahili wenye weledi wa hali ya juu na wachambuzi wa Mada kiwango cha HD, eti wakamsikilize zebwela na kitenge wanaotangaza kama mwehu aliyepoteza makopo yake..
3.yaaani na Akili Zako uache kusikiliza Leo tena Mada mbalimbali za kuelimisha na kuburudisha, eti ukasikilize kipindi cha taarabu chenye kuchambana..
The Swich ni kama Imebuma hivi haina Ubunifu Lil Omy kilichokua kinambeba ni Interview na maswali yake ya kusoma kwenye simu kichwani ni Empty huwezi ukampa mada ya mziki akaichambua, Uwezi ukaacha kusikiliza XXL kipindi chenye watangazaji mafundi Wa burudani na malegend wa hizi kazi eti ukasilize utopolo wa Ze Swich utakua mwehu
4.kumwambia atafute watangazaji wake mtu aliyezoea kufanya kila tukio kwa kutafuta kik ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, yani unamshauri apike watangazaji kama alivyompika Zuchu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa yule Zuchu kapikwa nini yani wakati kabebwa na Promo uwezo wake Mdogo, jamaa anaendesha redio kwa umaarufu wake ila ubunifu Ziro..
hizo Media unazoziita uchwara ndo katoa watangazaji uko wanaibeba hiyo radio yake, basi hata wasafi media ni uchwara [emoji23][emoji23]
huyo unamuita simba kwa utapeli na unyonyaji anaoufanya sisi wataalam tunamuona kenge tu na siyo simba
[emoji860]Sikiliza Wewe Sisi ndiyo wataalam wa hizi kazi.. Kaa kitaalam wewe usikae kipimbi