Diamond unatafuta kiki kwa pikipiki kwa kiba umenoa butu!

Jeshi la WCB halijawahi acha kibakuli salama # tusipangiane [HASHTAG]#tunatoa[/HASHTAG] song mda wowote tukitaka hatupangiwi! [emoji23] vimachozi vimelenga
 
wewe mshamba sana kuonyesha ferarri ndio video nzuri?
 
anakimbizwa mtaani na YouTube atakoma na matonya nae kaliamsha dude watajamba Cheche shenz, chezea king kiba, tembo mmoja simba kumi
 
ZILIPENDWA ni wimbo wa Matonya.
Sasa kundi zima la Wasafifi wamwashindwa kabisa kudikiri kitu kipya????
Walichokifanya ni kuongeza tu matukio ya zamani (zilipendwa)

Na Watanzania wlivo wanafiki wanasema ni ngoma kali kuliko KIPUSA.
Huu ni UZUZU
 
diamond ameanza kufanya music kama siasa za ukawa na ccm soka la bongo la yanga na simba... hizo ni dalili za kupoteana
 
Mi Nasubiri atakaposhukuru views zikifika 1 Million leo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…