Gubu la mashemeji baya sana, bora mawifi wamezoeleka.Me najua wenye gubu ni mawifi tu Kumbeeeeee hadi mashemeji kazi ipo!!
Mtume hafanananishwi bwanaMtume Mohamadi Akiwa takriban miaka Ishirini alimuoa Jasusi wa kikatoliki Bibi Khadija akiwa na Miaka arobaini. Na baadae aliweza kuendelea kuoa wanawake wengine wengi akiwamo Aisha aliyemuoa akiwa na miaka tisa.
Kwa kutumia utaratibu wa Imani yake ya Kiislam, Diamond anaweza Kumuoa Zarina, Hamisa, na wengineo wengi.
Watu wanamfananisha Diamond Platnumz na Mtume wake Mohamad ambaye pia alikuwa mwanamziki upande wa mashairi enzi hizo.
Reasoning na argument ni changamoto sana. Maana hii ni kupambana na mleta mada badala ya hoja za mleta mada.Wewe ni mpumbavu. Bila shaka akili yako ni ya kushikiwa. Hyo ni kwako na wewe huwezi kuwa kigezo cha kila mtu. Pumbavu sana.
Sio kwa kupanic hivi, kweli maisha yana stress aisee. Yeye kaleta mtazamo wake bhn, wewe unapaswa kuleta wako.Pumbavu. Weka sifa za mke wako hapa. Usheniz mtupu.
Eti demu mkali asiye n amtoto. Akili za kishenzi sana. Kwa hiyo kwako mtoto ni laana? Pumbvu kweli kweli.
Mtume Mohamadi Akiwa takriban miaka Ishirini alimuoa Jasusi wa kikatoliki Bibi Khadija akiwa na Miaka arobaini. Na baadae aliweza kuendelea kuoa wanawake wengine wengi akiwamo Aisha aliyemuoa akiwa na miaka tisa.
Kwa kutumia utaratibu wa Imani yake ya Kiislam, Diamond anaweza Kumuoa Zarina, Hamisa, na wengineo wengi.
Watu wanamfananisha Diamond Platnumz na Mtume wake Mohamad ambaye pia alikuwa mwanamziki upande wa mashairi enzi hizo.
Wewe ni mwarabu? Au mmakonde mwenzangu kujifanya unawajua saana waarabuHuu uzi utafutwa mda si mrefu aisee hebu futa huu upuuzi unamfananishaje Mtume Muhammad na mtu km diamond aliekwambia Mtume Muhammad alikuwa mwanamziki nani. Mod njoo ufanye yako kabla hakujachafuka na mwezi huu Wa Ramdhan kabla hatujaanza kudhihaki ya Yesu
Nimesema hajawahi kumsema vibaya domo au hata ndugu zake elewa, zile picha zilitoka baada ya domo kumkana mtt mbele ya media.Mtoa mada acha kuita watoto wa mwenzako mitoto. Umesema hamisa hajatoa siri una uhakika? Zile video zilizovujishwa ? Ulimsikia esma interview Yake kuhusu zari alivyokuwa ana m treat diamond? Mwanamke ni msafi wa nyumba na ku make sure diamond yupo sana kwa kila kitu. Watu wengi tuna judge kutokana na picha tu za insta ila ukweli wanaujua wao. Kwa nini suala p.a. umri kibongo bongo ni big deal.mmoja wa p square mke wake amemzidi umri .ila wenyewe wanaishi raha mustarehe. Diamond mwenyewe aliwahi kukiri zari hamuombi hela. Kikubwa sometimes wanaume hamjijui mnataka nini.ipo na kwa baadhi ya wanawake
Harmonize huyoooMe najua wenye gubu ni mawifi tu Kumbeeeeee hadi mashemeji kazi ipo!!
Reasoning na argument ni changamoto sana. Maana hii ni kupambana na mleta mada badala ya hoja za mleta mada.Sio kwa kupanic hivi, kweli maisha yana stress aisee. Yeye kaleta mtazamo wake bhn, wewe unapaswa kuleta wako.
Kwani maboslady hawawezi kuwa video vixenKutoka bosslady mpaka kuwa video vixen [emoji23]
Nambie utofauti wa umri wa hao uliowatajaMwambie pia kwamba juzi Prince Harry kamuoa Meghan ambaye ananzidi umri...
Kwani hiyo ni video ya kwanza?Kutoka bosslady mpaka kuwa video vixen [emoji23]
OhooooHatujui sisi wanawake huyoo tuna visasi mnoo
Mi naomba amrudie halafu awanyooshe ile ile natamani hyo muvi
wanawake wanakomaa haraka akili kuliko wanaume ,hata ukioa mke mwenye umri sawa na wewe atakupita tu kiakili, ndo maana mkeo umtangulie umriWewe ni mpumbavu. Bila shaka akili yako ni ya kushikiwa. Hyo ni kwako na wewe huwezi kuwa kigezo cha kila mtu. Pumbavu sana.
Mkuu nakushauri Udhihaki ya Rastafarian Haile Selassie. Ukimdhihaki Yesu hakika utakuwa unawaonea Wakristo. Kama una la kusema dhidi ya Jah Man Haile Selassie we liseme.Huu uzi utafutwa mda si mrefu aisee hebu futa huu upuuzi unamfananishaje Mtume Muhammad na mtu km diamond aliekwambia Mtume Muhammad alikuwa mwanamziki nani. Mod njoo ufanye yako kabla hakujachafuka na mwezi huu Wa Ramdhan kabla hatujaanza kudhihaki ya Yesu
Mkuu husomi Historia ya Mohamad? Hujui hata kwenye kitabu kinachodaiwa kushushwa yoka juu kama aya mbali mbali ambaza maswahaba na watu wengine walizikariri na kuzihifadhi kisha kuitwa Kuruani ndani yake kuna mashairi mengi ya Mohamadi ambayo vijana wa kiislamu wamekuwa wakikaririshwa kuimba?Inna Lilah wa INA Lilah Raajun...Unapata wapi ujasiri wa kuandika maneno mazito na yenye kuudhi kama haya..Wewe ni Great Thinker kweli?