Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Kabisa Mkuu ,nilitoa ushauri wangu Dayamondi akae mbali na mipasho na siasa kwenye mitandao ,atumie mtandao kupost kazi zake tu!! Kigogo ni mtu mbadi akili kubwa ile anajua mambo ambayo dayamond na crew yake wote hawatakuja kuyajuamumeshauri vyema.
Mpaka sasa mmemnyima ugali au mmempunguzia utajiri wake? La hasha!
 

Hajasoma huyu alibahatisha kwenye mziki hivyo sio rahisi kusikiliza watu ngoja wamnyooshe kwanza atakuwa na Adabu siku nyingine.

Unajua ukizoea kubishana na kushindanishwa na watu wa local hapa nchini kama alivyozoea kushindanishwa na Alikiba huku akisaidiwa na TV yake na redio yake ya wasafi anashinda basi yeye anazani hivyo hivyo kwemye mitandao.
Diamond hajui Power of Society katika ulimwengu wa Music. Ninamuonea huruma maana ninajua dunia ilivyo hivyo anapoteza maana sana kwenye mtandao. Alafu Entertainment kubwa kama BET aisee wakikuweka Black list anayo kazi ya kurudi juu ulimwenguni.
 

Mimi nimemshauri tuu anayohiyari ya kufuata au kupuuza.

Apime tuu kina cha maji
 
Ngoja umdondokee mninga probably next time atajifunza kuacha kufata meza yenye bia nyingi kama dem wa bar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…