Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚗𝚒 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝙲𝙲𝙼 𝚝𝚘𝚔𝚊 2010 𝚊𝚗𝚊𝚜𝚑𝚒𝚛𝚒𝚔𝚒 𝚔𝚞𝚝𝚞𝚋𝚞𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚙𝚎𝚗𝚒 𝚣𝚊 𝙲𝙲𝙼 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝙹𝚊𝚔𝚊𝚢𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚠𝚊𝚑𝚔𝚞𝚠𝚊 𝙼𝚕𝚎𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚆𝙲𝙱 𝚞𝚔𝚒𝚊𝚌𝚑𝚊 𝙼𝚊𝚔𝚘𝚗𝚍𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚒𝚢𝚘 𝚞𝚜𝚒𝚓𝚎 𝚞𝚔𝚊𝚓𝚒𝚍𝚊𝚗𝚐𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚊𝚝𝚊𝚜𝚑𝚞𝚔𝚊 𝚔𝚒𝚖𝚞𝚜𝚒𝚌 𝚔𝚒𝚜𝚊 𝚢𝚎𝚢𝚎 𝙲𝙲𝙼 𝚒𝚕𝚘 𝚘𝚗𝚍𝚘𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚊𝚔𝚒𝚕𝚒 𝚢𝚊𝚔𝚘.Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.
Well said brother. Na wameshatuma taarifa BET a-disqualify
Wewe unayempa ushauri Diamond wa kua bora ,huo ushauri wako au huo utaalamu wako wewe umeshawahi kuutumia tayari na unamzidi Diamond kwa kila kitu? au ni mtaalamu wa maandishi tu mitandaoni?Mtu anashauriwa namna ya kuwa Bora wewe unaleta akili za mende hapa.
Unataka kumpangia uhuru wake? nini maana ya Demokrasia mnayoihubiri kila siku?Shida yao huwa wanahisi kila anaekosoa ni hater kumbe wengine wana mapenzi nae sema wanataka tu abadilishe baadhi ya vitu,
Wewe unayempa ushauri Diamond wa kua bora ,huo ushauri wako au huo utaalamu wako wewe umeshawahi kuutumia tayari na unamzidi Diamond kwa kila kitu? au ni mtaalamu wa maandishi tu mitandaoni?
😀😀😀😀
Nafikikiri hujaelewa kilichoandikwa,hakuna aliyesema kisa hakuisapoti chadema, hapa kinazungumzwa kipindi watu mbalimbali wanapata matatizo kama kutekwa kwa Roma, Nay, kufungiwa kwa wasanii kww kuonewa yeye kama msanii mkubwa alifanya jitihadw gani?Yaani aombe radhi kisa hakuisapoti chadema ila aliisapoti sisiemu, upuuzi kabisa! Ungewashquri hao unaowaita wasomi wanaharakati wa-mind their own eff business...
Na mimi nimemwambia kama wewe tatizo hajaelewa kilichoandikwaWapi nimesema hayo?
Madai ya wanamtandao unayajua??
Hakuna ambaye anampangia mtu chama.
Uwe CCM uwe Upinzani uzalendo ni kutetea maslahi na haki za jamii yako.
Na hiyo ndio agenda.
Kama hujaelewa naomba nkupishe
Na mimi nimemwambia kama wewe tatizo hajaelewa kilichoandikwa
Elimu ni jambo muhimu sana.
Diamond hawezi kutishwa na wapiga domo haoSawa endelea na ujinga wenu huo huo kwamba amefankiwa kwa
Sawa Mkuu petition ya dayamondi imefikia wapi walionzisha dabliyusibii?
Umeambiwa tatizo sio u-ccmDiamond hawezi kuacha sisiemu,halafu aangaike na kigogo ambao Ata jinsia yake hatuijui, kama unaona wana madhara omba wewe hiyo radhi yakinafiki
𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚗𝚒𝚗𝚊𝚎𝚖𝚏𝚊𝚑𝚊𝚖𝚞 𝚝𝚊𝚗𝚐𝚒𝚊 2010 𝚊𝚗𝚊𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚛𝚎𝚖𝚒𝚡 𝚢𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚖𝚋𝚘 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚢𝚊 𝚖𝚋𝚊𝚐𝚊𝚕𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚒𝚒𝚖𝚋𝚒𝚊 𝚌𝚌𝚖 𝙺𝚊𝚖𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚙𝚎𝚗𝚍𝚊 𝚖𝚊𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚐𝚞𝚊 𝙲𝙲𝙼 𝚕𝚎𝚘 𝚑𝚒𝚒 𝚖𝚗𝚊𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚒𝚑𝚞𝚜𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚊 𝚜𝚒𝚊𝚜𝚊 𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚢𝚞𝚙𝚒? 𝚝𝚊𝚗𝚐𝚒𝚊 2010 𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚊𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚊𝚔𝚒𝚝𝚞𝚖𝚋𝚞𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚙𝚎𝚗𝚒 𝚣𝚊 𝙲𝙲𝙼.Hii kitu ni ngumu sana. Nakumbuka bwana diamond mwanzoni hakujihusisha na mambo ya siasa kabisa. Kuna moja ya interview yake alieleza kwamba alifuatwa akitakiwa ku support chama flani... aka delay delay akapigwa mzigo wa tax (kama mna kumbuka) mara paap huyo kwa kampeni.
Kulinda ugali wa familia zetu I bet 99% tungefanya the same thing.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kigogo aliwahi kufanikisha kitu gani tangu aanze harakati zake ili tumuone kweli ni akili kubwa?Kabisa Mkuu ,nilitoa ushauri wangu Dayamondi akae mbali na mipasho na siasa kwenye mitandao ,atumie mtandao kupost kazi zake tu!! Kigogo ni mtu mbadi akili kubwa ile anajua mambo ambayo dayamond na crew yake wote hawatakuja kuyajua, umeshauri vyema.
Eti mashambulizi juu ya mkuu wa nchi!Nimemtahadharisha tuu juu ya hao wanamtandao.
Kama walimudu mashambulizi yao dhidi ya Mkuu wa nchi lazima Diamond asifikiri Kama mtoto raundi hii