Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.

Well said brother. Na wameshatuma taarifa BET a-disqualify
𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚗𝚒 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝙲𝙲𝙼 𝚝𝚘𝚔𝚊 2010 𝚊𝚗𝚊𝚜𝚑𝚒𝚛𝚒𝚔𝚒 𝚔𝚞𝚝𝚞𝚋𝚞𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚙𝚎𝚗𝚒 𝚣𝚊 𝙲𝙲𝙼 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝙹𝚊𝚔𝚊𝚢𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚠𝚊𝚑𝚔𝚞𝚠𝚊 𝙼𝚕𝚎𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚆𝙲𝙱 𝚞𝚔𝚒𝚊𝚌𝚑𝚊 𝙼𝚊𝚔𝚘𝚗𝚍𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚒𝚢𝚘 𝚞𝚜𝚒𝚓𝚎 𝚞𝚔𝚊𝚓𝚒𝚍𝚊𝚗𝚐𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚊𝚝𝚊𝚜𝚑𝚞𝚔𝚊 𝚔𝚒𝚖𝚞𝚜𝚒𝚌 𝚔𝚒𝚜𝚊 𝚢𝚎𝚢𝚎 𝙲𝙲𝙼 𝚒𝚕𝚘 𝚘𝚗𝚍𝚘𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚊𝚔𝚒𝚕𝚒 𝚢𝚊𝚔𝚘.
 
Shida yao huwa wanahisi kila anaekosoa ni hater kumbe wengine wana mapenzi nae sema wanataka tu abadilishe baadhi ya vitu,
 
Bora Angekaa kimya yeye kuliko kuhimiza watu wanaoonewa wakae kimya.
 
𝗛𝗶𝘃𝗶 𝘀𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗸𝘂𝘀𝘂𝗽𝗽𝗼𝗿𝘁 𝘀𝗶𝗼?
 
Hii kitu ni ngumu sana. Nakumbuka bwana diamond mwanzoni hakujihusisha na mambo ya siasa kabisa. Kuna moja ya interview yake alieleza kwamba alifuatwa akitakiwa ku support chama flani... aka delay delay akapigwa mzigo wa tax (kama mna kumbuka) mara paap huyo kwa kampeni.

Kulinda ugali wa familia zetu I bet 99% tungefanya the same thing.
 
Yaani aombe radhi kisa hakuisapoti chadema ila aliisapoti sisiemu, upuuzi kabisa! Ungewashquri hao unaowaita wasomi wanaharakati wa-mind their own eff business...
Nafikikiri hujaelewa kilichoandikwa,hakuna aliyesema kisa hakuisapoti chadema, hapa kinazungumzwa kipindi watu mbalimbali wanapata matatizo kama kutekwa kwa Roma, Nay, kufungiwa kwa wasanii kww kuonewa yeye kama msanii mkubwa alifanya jitihadw gani?
 
Hii kitu ni ngumu sana. Nakumbuka bwana diamond mwanzoni hakujihusisha na mambo ya siasa kabisa. Kuna moja ya interview yake alieleza kwamba alifuatwa akitakiwa ku support chama flani... aka delay delay akapigwa mzigo wa tax (kama mna kumbuka) mara paap huyo kwa kampeni.

Kulinda ugali wa familia zetu I bet 99% tungefanya the same thing.
𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚗𝚒𝚗𝚊𝚎𝚖𝚏𝚊𝚑𝚊𝚖𝚞 𝚝𝚊𝚗𝚐𝚒𝚊 2010 𝚊𝚗𝚊𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚛𝚎𝚖𝚒𝚡 𝚢𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚖𝚋𝚘 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚢𝚊 𝚖𝚋𝚊𝚐𝚊𝚕𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚒𝚒𝚖𝚋𝚒𝚊 𝚌𝚌𝚖 𝙺𝚊𝚖𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚙𝚎𝚗𝚍𝚊 𝚖𝚊𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚐𝚞𝚊 𝙲𝙲𝙼 𝚕𝚎𝚘 𝚑𝚒𝚒 𝚖𝚗𝚊𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚒𝚑𝚞𝚜𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚊 𝚜𝚒𝚊𝚜𝚊 𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚢𝚞𝚙𝚒? 𝚝𝚊𝚗𝚐𝚒𝚊 2010 𝙳𝚒𝚊𝚖𝚘𝚗𝚍 𝚊𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚊𝚔𝚒𝚝𝚞𝚖𝚋𝚞𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚙𝚎𝚗𝚒 𝚣𝚊 𝙲𝙲𝙼.
 
Kijana hana washauri wazuri !! mambo ya Usanii na Siasa ni kuwa makini nayo saana, watanzania wanamuhukumu kupitia mitandao.

Ningekuwa mimi, nabadilisha benchi lote la ufundi, naomba radhi naanza ukurasa mpya !!
 
Kabisa Mkuu ,nilitoa ushauri wangu Dayamondi akae mbali na mipasho na siasa kwenye mitandao ,atumie mtandao kupost kazi zake tu!! Kigogo ni mtu mbadi akili kubwa ile anajua mambo ambayo dayamond na crew yake wote hawatakuja kuyajua, umeshauri vyema.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kigogo aliwahi kufanikisha kitu gani tangu aanze harakati zake ili tumuone kweli ni akili kubwa?
 
Back
Top Bottom