Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

DIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU


Na, Robert Heriel


Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.


Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe,


Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.

Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.

Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.

Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.


Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu


Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.


Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.


Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.


Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.


Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.


Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.


Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.


Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.


Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.


Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Diamond hawezi kuacha sisiemu,halafu aangaike na kigogo ambao Ata jinsia yake hatuijui, kama unaona wana madhara omba wewe hiyo radhi yakinafiki
 
Mwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
Mwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
Hakuna kitu Kama hiko, Kigogo, Sarungi, Lema, Lissu lini wamehusika na maisha ya Diamond? ebu acheni kujidanganya wafuasi wa Diamond wapo nae bega kwa bega
 
Wapi nimesema hayo?

Madai ya wanamtandao unayajua??

Hakuna ambaye anampangia mtu chama.
Uwe CCM uwe Upinzani uzalendo ni kutetea maslahi na haki za jamii yako.
Na hiyo ndio agenda.

Kama hujaelewa naomba nkupishe
Chadema wamebanwa mbavu wanatapa tapa tuuu , Diamond ni big deal, hawezi kutishwa na kelele za chura
 
CCM imewaharibu sana hawa vijana kwa kuwatumia kwenye siasa chafu na wenyewe bila kujua wanaingia kichwakichwa then wanabwagwa....
 
Kapandishwa na juhudi zake hakuna anayempenda diamond kisa ni ccm woote tunamkubali kwa sababu ya kazi zake hivyo pelekeni ujinga wenu mlipoutoa

Sawa endelea na ujinga wenu huo huo kwamba amefankiwa kwa
Hakuna kitu Kama hiko, Kigogo, Sarungi, Lema, Lissu lini wamehusika na maisha ya Diamond? ebu acheni kujidanganya wafuasi wa Diamond wapo nae bega kwa bega

Sawa Mkuu petition ya dayamondi imefikia wapi walionzisha dabliyusibii?
 
Diamond ana mashabiki MAZEZETA sana

Ndio maana petition yake imeishia kupata kura 49 kwa saa 13

Ndio maana hawezi tumia Twitter anajua kule wenye akili ni wengi

Hili daraja hapiti
 
Yaani aombe radhi kisa hakuisapoti chadema ila aliisapoti sisiemu, upuuzi kabisa! Ungewashquri hao unaowaita wasomi wanaharakati wa-mind their own eff business...
Hata kuelewa alichoandika umeshindwa? Sad
 
DIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU


Na, Robert Heriel


Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.


Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe,


Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.

Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.

Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.

Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.


Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu


Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.


Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.


Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.


Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.


Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.


Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.


Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.


Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.


Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.


Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi

Robert Hariel

Natafakari kidogo huku nikijiuliza hili kwa nini litokee sasa hivi ? Lakini nikijiambia moyoni mwanangu mwanadamu ni kiumbe wa ajabu sana ukiacha ulimi aliopewa ambao ni silaha kubwa kuliko zetu.

Lazima tuelewe kwenye hili kuna wanaojiita wazalendo, wazalendo bubu na wazalendo vipofu kila mtu ana uhuru wa kufanya lolote kwa utashi wake ilimradi asivunje sheria kanuni na taratibu za nchi.

Wengi wetu hapa duniani tunapambana na vita tusiyoijua. Wakati Tanzania gumzo likiwa ni msanii Diamond Platnumz washindani wake wa hizo tuzo hawana habari hata kupost hawapost.

Mizengwe ipo kila mahali na waandaji tuzo hii kwao ni biashara wanaangalia pia fursa zipo wapi.

Lazima ifike mahali kama Taifa tukubalie tulikosea mahali tutengeneze kizazi ambacho kitasimama na UKWELI pasipo kuogopa vijana thabiti. Mnafiki ni mtu wa kumuogopa sana.

Nitambue mchango wako wa unaishi na andiko lako.

Nawasilisha!
 
Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.

Well said brother. Na wameshatuma taarifa BET a-disqualify
 
Hajasoma huyu alibahatisha kwenye mziki hivyo sio rahisi kusikiliza watu ngoja wamnyooshe kwanza atakuwa na Adabu siku nyingine.

Unajua ukizoea kubishana na kushindanishwa na watu wa local hapa nchini kama alivyozoea kushindanishwa na Alikiba huku akisaidiwa na TV yake na redio yake ya wasafi anashinda basi yeye anazani hivyo hivyo kwemye mitandao.
Diamond hajui Power of Society katika ulimwengu wa Music. Ninamuonea huruma maana ninajua dunia ilivyo hivyo anapoteza maana sana kwenye mtandao. Alafu Entertainment kubwa kama BET aisee wakikuweka Black list anayo kazi ya kurudi juu ulimwenguni.
𝚈𝚊𝚗𝚒 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚔𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚑𝚒𝚗𝚍𝚠𝚊𝚗𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚝𝚊𝚖𝚋𝚘 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚕𝚊 𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚊𝚓𝚊𝚠𝚊𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚛𝚊𝚍𝚒𝚘 𝚗𝚊 𝚝𝚟! 𝙽𝚊𝚔𝚞𝚖𝚋𝚞𝚔𝚊 𝚖𝚒𝚊𝚔𝚊 𝚢𝚊 2010 𝚊𝚕𝚒𝚜𝚑𝚒𝚗𝚍𝚊𝚗𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝙱𝚎𝚕𝚕 9, 𝙺𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚙𝚒𝚐𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚓𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚝𝚎𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚠𝚊𝚣𝚒𝚝𝚘 𝚔𝚞𝚖𝚋𝚞𝚔𝚊 𝚝𝚞 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚊𝚗𝚣𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚛𝚊𝚍𝚒𝚘 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚢𝚊 𝚖𝚊𝚗𝚢𝚊𝚗𝚢𝚊𝚜𝚘 𝚊𝚗𝚊𝚢𝚘𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚞𝚔𝚘 𝙲𝙻𝙾𝚄𝙳𝚜, 𝙷𝚊𝚔𝚒𝚔𝚊 𝚌𝚕𝚘𝚞𝚍𝚜 𝚑𝚊𝚒𝚔𝚞𝚏𝚊𝚗𝚒𝚔𝚒𝚠𝚊 𝚊𝚝𝚊 𝚔𝚠𝚊 5% 𝚔𝚞𝚖𝚍𝚑𝚘𝚘𝚏𝚒𝚜𝚑𝚊 𝙼𝚘𝚗𝚍𝚒 𝚣𝚊𝚒𝚍𝚒 𝚔𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚊 𝚔𝚞𝚙𝚊𝚖𝚋𝚊𝚗𝚊 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚕𝚎𝚘 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝚞𝚗𝚊𝚖𝚞𝚘𝚗𝚐𝚎𝚕𝚎𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚗𝚍𝚘𝚝𝚘 𝚣𝚒𝚕𝚎𝚣𝚒𝚕𝚎 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚣𝚘𝚘𝚝𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚣𝚒𝚘 𝚖𝚠𝚊𝚔𝚊 2010.
 
Diamond alikuwa anapiga kampeni wapinzani wafeli ,Sasa hivi wapinzani wanapiga kampeni Diamond afeli tuzo .

Tatizo ni nini mbona ni 50/50
Tena kampeni alianza kabla hata ya uchaguzi.Kumbuka ile tour yake ya kigoma na treni kisha akaongea kwa simu na mwendazake.
 
Hakuna kitu Kama hiko, Kigogo, Sarungi, Lema, Lissu lini wamehusika na maisha ya Diamond? ebu acheni kujidanganya wafuasi wa Diamond wapo nae bega kwa bega
𝙽𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚞𝚓𝚊𝚠𝚊𝚑 𝚔𝚞𝚖𝚞𝚊𝚌𝚑𝚊, 𝙱𝚒𝚗𝚊𝚏𝚜𝚒 𝚊𝚕𝚋𝚊𝚖𝚞 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚢𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚗𝚞𝚗𝚞𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚢𝚊 𝙳𝙸𝙰𝙼𝙾𝙽𝙳 𝙺𝙰𝙼𝚆𝙰𝙱𝙸𝙴 2010 𝙺𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍𝚒 𝚑𝚒𝚔𝚘 𝚁𝚊𝚒𝚜 𝙹𝚊𝚔𝚊𝚢𝚊 𝙺𝚒𝚔𝚠𝚎𝚝𝚎 𝚕𝚒𝚌𝚑𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚞𝚝𝚊𝚠𝚊𝚕𝚊 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚘 𝚗𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚞𝚙𝚎𝚗𝚍𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚠𝚊 𝙺𝚒𝚔𝚠𝚎𝚝𝚎 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝙼𝙾𝙽𝙳 𝚊𝚕𝚒𝚒𝚗𝚐𝚒𝚊 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚙𝚎𝚗𝚒 2010 𝚗𝚊 𝚊𝚔𝚊𝚖𝚙𝚒𝚐𝚒𝚊 𝙺𝚒𝚔𝚠𝚎𝚝𝚎 𝚍𝚎𝚋𝚎 𝚑𝚊𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚒𝚜𝚜𝚞𝚎 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚓𝚊𝚙𝚘 𝙹𝚊𝚔𝚊𝚢𝚊 𝚜𝚒𝚔𝚞𝚖𝚙𝚊 𝚔𝚞𝚛𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚗𝚊 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚕𝚎𝚘 𝚖𝚒𝚖𝚒 𝚗𝚒 𝚖𝚜𝚑𝚊𝚋𝚒𝚔𝚒 𝚠𝚊 𝙳𝙸𝙰𝙼𝙾𝙽𝙳 𝙿𝙻𝙰𝚃𝙽𝚄𝙼𝚉 𝚗𝚊 𝚞𝚜𝚑𝚊𝚋𝚒𝚔𝚒 𝚠𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚔𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚗𝚒 𝚖𝚞𝚜𝚒𝚌 𝚝𝚞 𝚗𝚊 𝚜𝚒𝚘 𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚋𝚒𝚗𝚊𝚏𝚜𝚒.
 
Back
Top Bottom