Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Ngoja umdondokee mninga probably next time atajifunza kuacha kufata meza yenye bia nyingi kama dem wa bar
Nafikiri atajifunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja umdondokee mninga probably next time atajifunza kuacha kufata meza yenye bia nyingi kama dem wa bar
Diamond hawezi kuacha sisiemu,halafu aangaike na kigogo ambao Ata jinsia yake hatuijui, kama unaona wana madhara omba wewe hiyo radhi yakinafikiDIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU
Na, Robert Heriel
Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.
Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe,
Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.
Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.
Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.
Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.
Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu
Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.
Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.
Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.
Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.
Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.
Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.
Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.
Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.
Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.
Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Mtu anashauriwa namna ya kuwa Bora wewe unaleta akili za mende hapa.
Huo ushahuri wakawape familia zao, nchi huru hiiMtu anashauriwa namna ya kuwa Bora wewe unaleta akili za mende hapa.
Kakaa kimya mnataka aseme ... wabongo tunashida kubwa sana mtu mnamshambulia alafu mnamfundisha jinsi ya kulia?
Mwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
Hakuna kitu Kama hiko, Kigogo, Sarungi, Lema, Lissu lini wamehusika na maisha ya Diamond? ebu acheni kujidanganya wafuasi wa Diamond wapo nae bega kwa begaMwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
Na kiburi ni jambo Jema Asa ukigundua unamfanyia mtu ambaye ni mpuuziUKimya ni kiburi Sio kulia.
Chadema wamebanwa mbavu wanatapa tapa tuuu , Diamond ni big deal, hawezi kutishwa na kelele za churaWapi nimesema hayo?
Madai ya wanamtandao unayajua??
Hakuna ambaye anampangia mtu chama.
Uwe CCM uwe Upinzani uzalendo ni kutetea maslahi na haki za jamii yako.
Na hiyo ndio agenda.
Kama hujaelewa naomba nkupishe
Kapandishwa na juhudi zake hakuna anayempenda diamond kisa ni ccm woote tunamkubali kwa sababu ya kazi zake hivyo pelekeni ujinga wenu mlipoutoa
Hakuna kitu Kama hiko, Kigogo, Sarungi, Lema, Lissu lini wamehusika na maisha ya Diamond? ebu acheni kujidanganya wafuasi wa Diamond wapo nae bega kwa bega
Umeandika mangapi humu na yamezaa nini.Yeye akisoma ataelewa kuliko wewe ambaye upeo wako uko below average
Aiseee! Wewe una akili za nini?Mtu anashauriwa namna ya kuwa Bora wewe unaleta akili za mende hapa.
Hata kuelewa alichoandika umeshindwa? SadYaani aombe radhi kisa hakuisapoti chadema ila aliisapoti sisiemu, upuuzi kabisa! Ungewashquri hao unaowaita wasomi wanaharakati wa-mind their own eff business...
DIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU
Na, Robert Heriel
Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.
Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe,
Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.
Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.
Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.
Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.
Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu
Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.
Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.
Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.
Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.
Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.
Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.
Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.
Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.
Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.
Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
𝚈𝚊𝚗𝚒 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚔𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚑𝚒𝚗𝚍𝚠𝚊𝚗𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚝𝚊𝚖𝚋𝚘 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚕𝚊 𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚊𝚓𝚊𝚠𝚊𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚛𝚊𝚍𝚒𝚘 𝚗𝚊 𝚝𝚟! 𝙽𝚊𝚔𝚞𝚖𝚋𝚞𝚔𝚊 𝚖𝚒𝚊𝚔𝚊 𝚢𝚊 2010 𝚊𝚕𝚒𝚜𝚑𝚒𝚗𝚍𝚊𝚗𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝙱𝚎𝚕𝚕 9, 𝙺𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚙𝚒𝚐𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚓𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚝𝚎𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚠𝚊𝚣𝚒𝚝𝚘 𝚔𝚞𝚖𝚋𝚞𝚔𝚊 𝚝𝚞 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚊𝚗𝚣𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚛𝚊𝚍𝚒𝚘 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚢𝚊 𝚖𝚊𝚗𝚢𝚊𝚗𝚢𝚊𝚜𝚘 𝚊𝚗𝚊𝚢𝚘𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚞𝚔𝚘 𝙲𝙻𝙾𝚄𝙳𝚜, 𝙷𝚊𝚔𝚒𝚔𝚊 𝚌𝚕𝚘𝚞𝚍𝚜 𝚑𝚊𝚒𝚔𝚞𝚏𝚊𝚗𝚒𝚔𝚒𝚠𝚊 𝚊𝚝𝚊 𝚔𝚠𝚊 5% 𝚔𝚞𝚖𝚍𝚑𝚘𝚘𝚏𝚒𝚜𝚑𝚊 𝙼𝚘𝚗𝚍𝚒 𝚣𝚊𝚒𝚍𝚒 𝚔𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚊 𝚔𝚞𝚙𝚊𝚖𝚋𝚊𝚗𝚊 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚕𝚎𝚘 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝚞𝚗𝚊𝚖𝚞𝚘𝚗𝚐𝚎𝚕𝚎𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚗𝚍𝚘𝚝𝚘 𝚣𝚒𝚕𝚎𝚣𝚒𝚕𝚎 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚣𝚘𝚘𝚝𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚣𝚒𝚘 𝚖𝚠𝚊𝚔𝚊 2010.Hajasoma huyu alibahatisha kwenye mziki hivyo sio rahisi kusikiliza watu ngoja wamnyooshe kwanza atakuwa na Adabu siku nyingine.
Unajua ukizoea kubishana na kushindanishwa na watu wa local hapa nchini kama alivyozoea kushindanishwa na Alikiba huku akisaidiwa na TV yake na redio yake ya wasafi anashinda basi yeye anazani hivyo hivyo kwemye mitandao.
Diamond hajui Power of Society katika ulimwengu wa Music. Ninamuonea huruma maana ninajua dunia ilivyo hivyo anapoteza maana sana kwenye mtandao. Alafu Entertainment kubwa kama BET aisee wakikuweka Black list anayo kazi ya kurudi juu ulimwenguni.
Tena kampeni alianza kabla hata ya uchaguzi.Kumbuka ile tour yake ya kigoma na treni kisha akaongea kwa simu na mwendazake.Diamond alikuwa anapiga kampeni wapinzani wafeli ,Sasa hivi wapinzani wanapiga kampeni Diamond afeli tuzo .
Tatizo ni nini mbona ni 50/50
𝙽𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚞𝚓𝚊𝚠𝚊𝚑 𝚔𝚞𝚖𝚞𝚊𝚌𝚑𝚊, 𝙱𝚒𝚗𝚊𝚏𝚜𝚒 𝚊𝚕𝚋𝚊𝚖𝚞 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚢𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚗𝚞𝚗𝚞𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚢𝚊 𝙳𝙸𝙰𝙼𝙾𝙽𝙳 𝙺𝙰𝙼𝚆𝙰𝙱𝙸𝙴 2010 𝙺𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍𝚒 𝚑𝚒𝚔𝚘 𝚁𝚊𝚒𝚜 𝙹𝚊𝚔𝚊𝚢𝚊 𝙺𝚒𝚔𝚠𝚎𝚝𝚎 𝚕𝚒𝚌𝚑𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚞𝚝𝚊𝚠𝚊𝚕𝚊 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚘 𝚗𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚞𝚙𝚎𝚗𝚍𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚠𝚊 𝙺𝚒𝚔𝚠𝚎𝚝𝚎 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝙼𝙾𝙽𝙳 𝚊𝚕𝚒𝚒𝚗𝚐𝚒𝚊 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚙𝚎𝚗𝚒 2010 𝚗𝚊 𝚊𝚔𝚊𝚖𝚙𝚒𝚐𝚒𝚊 𝙺𝚒𝚔𝚠𝚎𝚝𝚎 𝚍𝚎𝚋𝚎 𝚑𝚊𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚒𝚜𝚜𝚞𝚎 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚓𝚊𝚙𝚘 𝙹𝚊𝚔𝚊𝚢𝚊 𝚜𝚒𝚔𝚞𝚖𝚙𝚊 𝚔𝚞𝚛𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚗𝚊 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚕𝚎𝚘 𝚖𝚒𝚖𝚒 𝚗𝚒 𝚖𝚜𝚑𝚊𝚋𝚒𝚔𝚒 𝚠𝚊 𝙳𝙸𝙰𝙼𝙾𝙽𝙳 𝙿𝙻𝙰𝚃𝙽𝚄𝙼𝚉 𝚗𝚊 𝚞𝚜𝚑𝚊𝚋𝚒𝚔𝚒 𝚠𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚔𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚗𝚒 𝚖𝚞𝚜𝚒𝚌 𝚝𝚞 𝚗𝚊 𝚜𝚒𝚘 𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚋𝚒𝚗𝚊𝚏𝚜𝚒.Hakuna kitu Kama hiko, Kigogo, Sarungi, Lema, Lissu lini wamehusika na maisha ya Diamond? ebu acheni kujidanganya wafuasi wa Diamond wapo nae bega kwa bega