Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Kijana hana washauri wazuri !! mambo ya Usanii na Siasa ni kuwa makini nayo saana, watanzania wanamuhukumu kupitia mitandao.

Ningekuwa mimi, nabadilisha benchi lote la ufundi, naomba radhi naanza ukurasa mpya !!
π™Έπš•πš˜ πš‹πšŽπš—πšŒπš‘ πš•πšŠπš”πšŽ πš•πšŠ πšžπšπšžπš—πšπš’ πš—πšπš’πš’πš˜ πš•πš’πš–πšŽπš–πšπš’πš”πš’πšœπš‘πšŠ πš‘πšŠπš™πš˜ πšŠπš•πš’πš™πš˜ πš•πšŽπš˜ πšŠπš•πšŠπšπšž πšŠπš•πšŠπšŒπš‘πšŽ πšŠπšŒπšžπš”πšžπšŽ πš•πš’πšπšŠπš”πšŠπš•πš˜ πš–πš™πšŽπš•πšŽπš”πšŠ πšŒπš‘πš’πš—πš’ 𝚊𝚞?
 
FB_IMG_1622828605106.jpg
 
Kakaa kimya mnataka aseme ... wabongo tunashida kubwa sana mtu mnamshambulia alafu mnamfundisha jinsi ya kulia?
Unakaaje kimya wakati mshirika wako anaua watu na kuwatupia kwenye viroba?
 
Kwani kutekwa kwa Roma si wasanii haohao waliandamana wakiwemo WCB mpaka kwa Mkuu wa mkoa na akaahidi atapatikana na akapatikana. Mbona hili halisemwi tena nakumbuka Babu tale ndio alikua mstari wa mbele kwelikweli toka utawala wa Nyerere mpaka Jpm watu wametekwa na wameuwawa kwanini iwe kwa hawamu ya tano tu na kwa diamond pekee?
Diamond alikuwepo?
 
DIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU

Na, Robert Heriel

Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.

Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe,

Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.

Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.

Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.

Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.

Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu

Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.

Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.

Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.

Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.

Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.

Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.

Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.

Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.

Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.

Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Acha kumtisha Diamond. Huyo ni Dangote wa Bongo hatishwi na wavimba macho wa mitandaoni. Chibu yupo jana, leo na kesho. Simba songa mbele achana nao na usipoteze kuwajibu. Tupo wa kukusemea!!!
 
Kijana hana washauri wazuri !! mambo ya Usanii na Siasa ni kuwa makini nayo saana, watanzania wanamuhukumu kupitia mitandao.

Ningekuwa mimi, nabadilisha benchi lote la ufundi, naomba radhi naanza ukurasa mpya !!
Kijana hana washauri wazuri !! mambo ya Usanii na Siasa ni kuwa makini nayo saana, watanzania wanamuhukumu kupitia mitandao.

Ningekuwa mimi, nabadilisha benchi lote la ufundi, naomba radhi naanza ukurasa mpya !!
Hawezi kuacha benchi lake la ufundi kisa wapiga domo wa mitandaoni, wao ndio wamemsaidia pale halipo, huyo Kigogo angekuwa sio muoga wa serikali angeonya sura yake
 
DIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU

Na, Robert Heriel

Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.

Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe,

Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.

Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.

Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.

Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.

Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu

Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.

Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.

Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.

Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.

Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.

Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.

Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.

Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.

Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.

Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Acha kumtisha na hao wanaharakati uchwara. Kama wananguvu si wangezitumia kupata Kura kwenye chaguzi.

Hao ni waganga njaa tu waliojificha kwenye Siasa
 
Kuna tofauti kubwa kati na Msanii mpigania HAKI za binadamu na Msanii anayesifu dhuruma na uovu wa watawala!! nafikiri hapo ndipo mnapompoteza Nasibu. Sasa kwa sababu nyie ni wabishi haya mwambieni aendelee then atauona mwisho wake.

Mitandao ya kijamii ndiyo silaha tosha iliyobakia ya watanzania.

View attachment 1811098
Unahangdaika bure tu!

Diamond hata akikosa hyo tuzo ataendelea kuwa icon wa muziki hapa tz na EAC kwa ujumla huku chadema ikiendelea kuwa chama cha upinzani.

[emoji23][emoji23][emoji23]Yani ukitafakari sana kwamba kwenye hii kampeni mna gain kitu gani unabaki kuwahurumia tu
 
Back
Top Bottom