Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Kuna tofauti kubwa kati na Msanii mpigania HAKI za binadamu na Msanii anayesifu dhuruma na uovu wa watawala!! nafikiri hapo ndipo mnapompoteza Nasibu. Sasa kwa sababu nyie ni wabishi haya mwambieni aendelee then atauona mwisho wake.

Mitandao ya kijamii ndiyo silaha tosha iliyobakia ya watanzania.

View attachment 1811098
Kumbe wee ni pumb***yu unaacha kula ugali maharage kwako unatangaza chuki kwa kijana mchumia tumbo lake
 
Wapi nimesema hayo?

Madai ya wanamtandao unayajua??

Hakuna ambaye anampangia mtu chama.
Uwe CCM uwe Upinzani uzalendo ni kutetea maslahi na haki za jamii yako.
Na hiyo ndio agenda.

Kama hujaelewa naomba nkupishe
Nchi yetu imefika pabaya sana kuna watu dhulma,kunyimwa haki wengine kwao nafsi zao zinafurahi na ndio wanaotetea huu upuuzi.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Bongo ukifanikiwa lazima uchukuwe, Diamond anachukuwa kwasababu ya mafanikio yake
 
CCM ina watu mbumbumbu sana,umeandika kwa kufikiri mwenyewe!

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
Unadhani kila mtu ni shabiki wa mambo ya siasa? kuna sehemu yeyote nimeandika kuhusu chama chochote cha siasa?

Hii thd inamuhusu Diamond na sio chama cha siasa,

Jibu swali nililouliza na kama huna jibu basi ficha ujinga wako kwa kupiga kimya.
 
Unadhani kila mtu ni shabiki wa mambo ya siasa? kuna sehemu yeyote nimeandika kuhusu chama chochote cha siasa?

Hii thd inamuhusu Diamond na sio chama cha siasa,

Jibu swali nililouliza na kama huna jibu basi ficha ujinga wako kwa kupiga kimya.

Nafikiri usilazimishe akujibu maana wewe mwenyewe hakuna cha maana ulichouliza
 
Kabisa Mkuu ,nilitoa ushauri wangu Dayamondi akae mbali na mipasho na siasa kwenye mitandao ,atumie mtandao kupost kazi zake tu!! Kigogo ni mtu mbadi akili kubwa ile anajua mambo ambayo dayamond na crew yake wote hawatakuja kuyajua, umeshauri vyema.
Kigogo hana "power" hii unayoizungumzia, unamkuza kupita kiasi.
 
Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.

Well said brother. Na wameshatuma taarifa BET a-disqualify
Kidole cha kati ndio saizi yenu, mmechka mnakuja na gia nyingine
 
Mwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
Wakina nani hao "waliompandisha"?
Nimemtahadharisha tuu juu ya hao wanamtandao.

Kama walimudu mashambulizi yao dhidi ya Mkuu wa nchi lazima Diamond asifikiri Kama mtoto raundi hii
" Sichuesheni" ya mkuu wa nchi na hii ya Diamond ni tofauti kabisa mzee!
Katika hili Kigogo atafeli vibaya sana, huyo Diamond amekusanya mashabiki kutoka vyama vyote hapa nchini, hii "misheni" ya Kigogo na wenzake imekaa "ki-Chadema" zaidi, kitu cha msingi jaribu kutumia nguvu hii hii uliyoitumia kumshauri Diamond kuwashauri viongozi wa CHADEMA, wawe makini na hii "vita" wanayoipigana, wasifute tu "mkumbo" wa Kigogo, Kigogo hana cha kupoteza!
 
Tatizo hawa "influensazi" na "aktivisti" wa Twitter wanadhani wanaomkubali Diamond ni MATAGA tu, hii vita hampigani na MATAGA tu aisee. Wapo watu ambao hawajawahi kuipenda CCM kabisa lakini wanamkubali Diamond, kuna mwehu anaweza asinielewe, wapo watu wasiokuwa wanachama au wapenzi wa chama chochote cha siasa lakini wanamkubali Diamond, wanamkubali na kumpenda "eidha" kwa upambanaji wake au mafanikio yake au nyimbo zake.
 
Back
Top Bottom