Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Hebu weka hapa moja tu!Nyingi tu na wewe unazijua au kama umesahau muulize Kenge Lugola.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu weka hapa moja tu!Nyingi tu na wewe unazijua au kama umesahau muulize Kenge Lugola.
Aisee nimeingia kusaini naona petition zinakimbia kama mshale wa sekunde,majina yanapishana tu![]()
23,187 people signed and won this petition
BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)chng.it
Link hiyo hapo ya petition
Kumbe wee ni pumb***yu unaacha kula ugali maharage kwako unatangaza chuki kwa kijana mchumia tumbo lakeKuna tofauti kubwa kati na Msanii mpigania HAKI za binadamu na Msanii anayesifu dhuruma na uovu wa watawala!! nafikiri hapo ndipo mnapompoteza Nasibu. Sasa kwa sababu nyie ni wabishi haya mwambieni aendelee then atauona mwisho wake.
Mitandao ya kijamii ndiyo silaha tosha iliyobakia ya watanzania.
View attachment 1811098
Nchi yetu imefika pabaya sana kuna watu dhulma,kunyimwa haki wengine kwao nafsi zao zinafurahi na ndio wanaotetea huu upuuzi.Wapi nimesema hayo?
Madai ya wanamtandao unayajua??
Hakuna ambaye anampangia mtu chama.
Uwe CCM uwe Upinzani uzalendo ni kutetea maslahi na haki za jamii yako.
Na hiyo ndio agenda.
Kama hujaelewa naomba nkupishe
CCM ina watu mbumbumbu sana,umeandika kwa kufikiri mwenyewe!Unataka kumpangia uhuru wake? nini maana ya Demokrasia mnayoihubiri kila siku?
Nchi yetu imefika pabaya sana kuna watu dhulma,kunyimwa haki wengine kwao nafsi zao zinafurahi na ndio wanaotetea huu upuuzi.
Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
Bongo ukifanikiwa lazima uchukuwe, Diamond anachukuwa kwasababu ya mafanikio yake
Unadhani kila mtu ni shabiki wa mambo ya siasa? kuna sehemu yeyote nimeandika kuhusu chama chochote cha siasa?CCM ina watu mbumbumbu sana,umeandika kwa kufikiri mwenyewe!
Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
Unadhani kila mtu ni shabiki wa mambo ya siasa? kuna sehemu yeyote nimeandika kuhusu chama chochote cha siasa?
Hii thd inamuhusu Diamond na sio chama cha siasa,
Jibu swali nililouliza na kama huna jibu basi ficha ujinga wako kwa kupiga kimya.
Kwa akili yako ilivyo finyu lazima uone kua kilichoulizwa sio cha maana,kutambua jambo la maana kuna tegemea na akili ya mtu,naona umeamua kuja kunijibu tena kwa ID yako nyingine,leo utatumia ID zako zote ila utatulia tu.Nafikiri usilazimishe akujibu maana wewe mwenyewe hakuna cha maana ulichouliza
Wewe mwenye elimu umemzidi nini Diamond?Diamond Kama haelewi wanachozungumzia wanamtandao nitaamini elimu kweli no muhimu
Kigogo hana "power" hii unayoizungumzia, unamkuza kupita kiasi.Kabisa Mkuu ,nilitoa ushauri wangu Dayamondi akae mbali na mipasho na siasa kwenye mitandao ,atumie mtandao kupost kazi zake tu!! Kigogo ni mtu mbadi akili kubwa ile anajua mambo ambayo dayamond na crew yake wote hawatakuja kuyajua, umeshauri vyema.
Pesa ni kitu muhimu sana!Elimu ni jambo muhimu sana.
Acha kushikiwa akili na kigogo, Diamond ni msanii pekee anae itangaza Tanzania kimataifaDiamond hawezi chukiwa na mtu ambaye sio Fani yake.
Ni mwendawazimu pekee anayeweza kufikiri Kama wewe.
Wakina nani hao "waliompandisha"?Mwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
Kidole cha kati ndio saizi yenu, mmechka mnakuja na gia nyingineDiamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.
Well said brother. Na wameshatuma taarifa BET a-disqualify
Wakina nani hao "waliompandisha"?Mwache tu hajui kwamba hao hao waliompandisha ndio watakaomshusha.
" Sichuesheni" ya mkuu wa nchi na hii ya Diamond ni tofauti kabisa mzee!Nimemtahadharisha tuu juu ya hao wanamtandao.
Kama walimudu mashambulizi yao dhidi ya Mkuu wa nchi lazima Diamond asifikiri Kama mtoto raundi hii