Diamond uwe na huruma, umemdhalilisha sana Hamisa Mobetto

Atafutae achoki endelea kutafuta waweza mpata.
 
kwaio yule mtoto aliyeoa majunzi alishuka kutoka mbinguni kama yupo single
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan huyu dangote anataka watu twende kwa kamgambile tusafishe nyota
Maandamano ya kusafisha nyota [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
 
Ruta kuna kipindi nilikua namtetea hamisa,ukanipinga….sijui kwa nini watanzania hatuelewi,Hamisa ni mdogo jamani kuzaa sio kuwa mtu mzima,young age,kids and fame vyote ukivichanganya ni mzigo mzito kwa mtu,ndio maana wengi mastaa tunawaona kwenye TV wanakula madawa ya kulevya,...…
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wabongo tunavyojua kudanga soon watampandia ndege wap sanch
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usipojitambua kichwa kinajaa wadudu basi wakitibuka tu ni shida tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…