Mirhea
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 814
- 1,382
Hahaa inasikitisha sana kwa kweli. Halafu utakuta ni baba na mandevu yake kabisa.Hamna wala asikimbie,mambo kama haya ni ya sie wadada...ila nimegundua wanaume wa humu baadhi wanapenda umbea na wanafatilia page zote za udaku IG na wanajua breaking news zote za kidaku kuliko sie wadada!
Humu wanaonzishaga thread za umbea wengi ni wakaka!mpk nashangaa