Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond na Vanessa kuna chance kubwa ya kushinda ila huyo Wakazi labda iwe zali, huo wimbo wake mi nipo bongo na siujui ndio nauona leo
Kiba ni wa hapa hapa.Hawa Kora wamepewa kitu kidogo na Diamond wasimpe King nomination tu. Inamaana hawajayasikia masauti yale kwenye Nagharimia? Sio fair kabisa.
Wakina nifah sahivi wamehamia jukwaa la siasa, huku hawaonekani tena maana hiyo minyoosho waliyoipata mwakahuu ni shida, ila niffah hata jukwaa la siasa karibu atahama, maana alikuwa team Lowasa, huko nako kanyooshwa. Yaani in short yeye anashabikiaga maluza tu
Huyo sasa hivi anashabikia Manchester, ndio maana naona hii timu itakosa ubingwa mwaka huu.
Hahahahaaaa kweli nawanyima usingizi sana nyie watu.Wakina nifah sahivi wamehamia jukwaa la siasa, huku hawaonekani tena maana hiyo minyoosho waliyoipata mwakahuu ni shida, ila niffah hata jukwaa la siasa karibu atahama, maana alikuwa team Lowasa, huko nako kanyooshwa. Yaani in short yeye anashabikiaga maluza tu
Uliza uambiwe popoma wewe,mimi ni shabiki wa kutupwa wa Arsenal the Gunners.Huyo sasa hivi anashabikia Manchester, ndio maana naona hii timu itakosa ubingwa mwaka huu.
Nani wa kushabikia losers?Pole sana.kumbe ndo maana timu yangu inazingua sahivi yaani siielewielewi, tutamtimua lvg na huyo nifah
Daaah yani hizi tuzo nikifikiria tu hizo bilioni mbili akichukuwa tandale boy hahahahaha aiseee umaskini ndio bye bye yani..
Bilioni Mbili kivipi ndg..? Em nieleweshe. Thats huge.., hela kubwa sana hiyo.
Wapi King kiba?
Tehe tehe tehe, hayupo hana alichokifanya, hawamwelewi wenye akili. Kwikwikwi, kijana anapiga hatua nyingi nyuma kwa kasi ya ajabu.
Hahahahaaaa kweli nawanyima usingizi sana nyie watu.