Diamond was right, Zari is desperate..

Diamond was right, Zari is desperate..

Bosslady wapi bwana wewe!!huyo bibi hana Ishu...Showoff zinammaliza,anapenda umaarufu kupitiliza!!
.
Ila nilichojifunza ni kwamba kama huna uhakika na kitu basi usikimbilie kumuacha mtu...inauma sana kumuacha mtu uliesema ni malaya,halafu akaja akapata mtu mzuri na akatulia sàna,hakika inauma!!Zari alitegemea Tanasha ni demu wa kupita tu,sasa kumbe Diamond ndio ameweka kambi!!.
.
Sikuzote nasemaga anayeacha anaumia zaidi kuliko anaeachwa!!ukiachwa ni rahisi sana kumoveon kuliko ukiacha[emoji1787]muda wote unatamani uliemuacha aendelee kuharibu ili ujione ulikua sahihi kumuacha...sasa ukiona ametulia,anafanya mambo yake na hana habari na wewe haloooo inaumaaa!!!
Afu kweli ujue!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata ukimuangalia Zari matendo yake, Ni anampenda Diamond kupita kiasi[emoji848]

Sema naamini yeye hakupendwa kweli kiviile, so sad

Acha atoe machungu yake, labda iko siku atapoa, ila jana kama vile alikuwa kalewa[emoji16]
Huyo kwa avatar ni wewe
 
Tatizo lenu hampendi mtu aseme ukweli mimi nikiona harusi ndio nitaamini halafu mbona na domo kutwa kumuongelea zari kwani kuna ubaya kwa watu walio zaa pamoja hawa hata mfanyaje wataongea tu ipo siku labda watoto wapotee.
 
Tatizo lenu hampendi mtu aseme ukweli mimi nikiona harusi ndio nitaamini halafu mbona na domo kutwa kumuongelea zari kwani kuna ubaya kwa watu walio zaa pamoja hawa hata mfanyaje wataongea tu ipo siku labda watoto wapotee.
Km umeangalia vizuri hii issue diamond baada ya kuachana na zari siku wahi kumsikia hata siku moja diamond akimzungumzia zari ingawa zari ndio alikuwa akimzungumzia vibaya diamond mara anamwita diamond paka mara maneno mabaya kwenye page yake ya insta na diamond akumjibu Wala Nini japo alikuwa anaulizwa na waandishi wa habari lkn jamaa alikuwa anakwepa.kosa aliyofanya zari kwenda BBC nakumtuhumu diamond atoi hela kwa watoto wake amewatekeleza diamond uzalendo ukamshinda akaona nikimwacha huyu manzi ataniaribia image yangu kwa mashabiki zangu ndo akafunguka kwa mara ya Kwanza Kwenye interview aliyofanya Kwenye radio yake wasafifm kwahiyo zari mwenyewe ndo kayataka yote haya Sasa hiv anakula matapishi yake.
 
We sio ndio siku zote huwa unashinda humu kumsifia Zari na kumponda Mondi?

Endelea vile vile usijipendekeze kwa Mtoto wa Tandale,mwanaume hatishiwi nyau siku zote.

Mwanaume ni kama jinsi hata ikipauka bado inabakia kuwa ni fasheni.
 
Km umeangalia vizuri hii issue diamond baada ya kuachana na zari siku wahi kumsikia hata siku moja diamond akimzungumzia zari ingawa zari ndio alikuwa akimzungumzia vibaya diamond mara anamwita diamond paka mara maneno mabaya kwenye page yake ya insta na diamond akumjibu Wala Nini japo alikuwa anaulizwa na waandishi wa habari lkn jamaa alikuwa anakwepa.kosa aliyofanya zari kwenda BBC nakumtuhumu diamond atoi hela kwa watoto wake amewatekeleza diamond uzalendo ukamshinda akaona nikimwacha huyu manzi ataniaribia image yangu kwa mashabiki zangu ndo akafunguka kwa mara ya Kwanza Kwenye interview aliyofanya Kwenye radio yake wasafifm kwahiyo zari mwenyewe ndo kayataka yote haya Sasa hiv anakula matapishi yake.
Anajuta sana!!yaani unamuona kabisa huyo KingBae anatumiwa tu kupooza machungu ila bado machungu hayataki kutoka!!anaumia sana,kweli malipo ni hapahapa duniani,alivyomfanyia Ivan mpaka akamtia stress za umauti baba wa watu na yeye leo yanamkuta hayohayo....Zari anampenda sana Chibu,saana..
 
Anajuta sana!!yaani unamuona kabisa huyo KingBae anatumiwa tu kupooza machungu ila bado machungu hayataki kutoka!!anaumia sana,kweli malipo ni hapahapa duniani,alivyomfanyia Ivan mpaka akamtia stress za umauti baba wa watu na yeye leo yanamkuta hayohayo....Zari anampenda sana Chibu,saana..
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]diamond alitaka inkubeta baaaasi
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!washaambiwa ukiachwa achika hawataki kukubali!
Dada yangu aliniambiaga km unampenda mwanaume usimuache,itakula kwako...maana hakuna kitu kigumu km kumov on...its a process very long!!!
That is very true.
 
Kama mwanamke anaweza kutoboa kipini puani atashindwaje kutoboa moyo wako??

Aliskika dogo mmoja wa Senegal kabla hajafunga goli
 
Akome alijishaua saaana na meno yake mabovu akahisi tz anaiweza mapchapcha hekaheka nyng mwsho chaliiiiiii dai nkomesheeee uyo bibi wa 40
 
Back
Top Bottom