Diamond: Wasanii wengi wa kimataifa wametaka kujiunga na WCB ila nimewakatalia

Alafu uyu jamaa asione watanzania ni watu wa kudanganywa tu kila mahali..kwenye kampeni tudanganywe mpka kwenye burudani jamani
 
Kuna mtu kala ban kwa thread hii hii. Mapovu na matusi juu, nimecheka!
 
HahahHHhaha
Ulivocheka....na mimi nimejikuta nacheka....alafu sijui kinachonichekesha....hii tabia sijui ntaiacha lini maana hata nkimuona mtu anacheka na mimi najikuta nimeangua chekooo
 
Ulivocheka....na mimi nimejikuta nacheka....alafu sijui kinachonichekesha....hii tabia sijui ntaiacha lini maana hata nkimuona mtu anacheka na mimi najikuta nimeangua chekooo
Kuna vitu vinachekesha sana
 
Duuh, siamini kawatolea nje JAYZ na BEYONCE waliomba kujiunga, siyo vyema hivyo wakubalie tu.
 
Wazo la Diamond kusaidia watanzania wenzake ni zuri sana na ni uzalendo. Wasanii wengine wakubwa waige kitu kama hiki cha kusaidia chipukizi wa hapa hapa japo kufanya nao collabo tu ili wawatoe nafasi moja kwenda nyingine. Wazo hili lifanyiwe kazi pia na directors, producers na wadhamini ili kuufikisha mbali mziki wetu na kuwa na wasanii wengi wenye mafanikio kitaifa na kimataifa
 
Ulivocheka....na mimi nimejikuta nacheka....alafu sijui kinachonichekesha....hii tabia sijui ntaiacha lini maana hata nkimuona mtu anacheka na mimi najikuta nimeangua chekooo
Utakua na ugonjwa wa chekelea mkuu
 
Tobaaaaaa
Sikua najua hili kumbe hii label ni kubwa ivi eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…