Ila mzee ni kama beat hazina shida kwa soko.Diamond ameshindwa kusoma soko na kujua watu wanahitaji nini kwa sasa. Amepanic sana kuona wakina davido wamechange kidogo kutoka kwenye uimbaji na beats wanazotumia, mfn nyimbo za sasa hiv ametumia beat za taratibu sana za kuteka hisia tofauti na mwanzo mfano mzuri ni nyimbo ya fall
Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond ameshindwa kusoma soko na kujua watu wanahitaji nini kwa sasa. Amepanic sana kuona wakina davido wamechange kidogo kutoka kwenye uimbaji na beats wanazotumia, mfn nyimbo za sasa hiv ametumia beat za taratibu sana za kuteka hisia tofauti na mwanzo mfano mzuri ni nyimbo ya fall
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mimi ninavyo ona Laizer sio mtu sahihi wa kumtengenezea nyimbo diamond ki uhalisia....!ile nyimbo kacopy and paste sasa sijui ubunifu hamna au? Laizer naye kwa kusampo beats hajambo aongeze ubunifu
video imefanana na nyimbo ya jamaa anaitwa R2bees yupo na wizkid na sarkodie inaitwa tonightVideo imefanana na ya Davido pia?wimbo huo huo?
Ni kweli kabisa mkuu yaani beat zinafanana mnoKwa mimi ninavyo ona Laizer sio mtu sahihi wa kumtengenezea nyimbo diamond ki uhalisia....!
Ukitizama WBC pale karibu wote midundo yao inafanana yani midundo inayo toka haina lazima kuna vitu vitakuwepo.....
Kwa diamond nafikiri huyu Laizer angebaki na wakuna Mavoko,hamonize na Rey Van lasivyo ata anguka kimzingi.....
Labda afanye kitu kimoja kwa sasa akafanye ngoma na mtu kama Tuddy Thomas Shedy au Mr T.Touch hawa watu wana radha flani hivi na midundo yao inakuwa na amsha amsha....!
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu, mpaka leo sijajua kimataifa ladha ya muziki wa kibongo ni upiIla siku hizi watu hawaimbi wanafanya biashara. Biashara ndiyo target acha wafanye wanachoona kinawapa pesa ila mziki unakufa
Sidhani, ngoja wachunguzi waiangalie.video imefanana na nyimbo ya jamaa anaitwa R2bees yupo na wizkid na sarkodie inaitwa tonight
Ina maana Davido nae amemuiga Kcee kwenye nyimbo yake ya desire...???
Suala la nyimbo au beat kufanana ni jambo la kawaida sana kwa wanaofahamu muziki...