Diamond yupo Mwanza leo; watu wote wa jiji la Mwanza wana furaha...

Diamond yupo Mwanza leo; watu wote wa jiji la Mwanza wana furaha...

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20220528_092353.jpg

Msanii namba moja Africa, Diamond Platnumz aka Simba anapiga expensive show ndani ya Mwanza leo.

Basi watu wote ndani ya Mwanza wamejawa na furaha.

Kama una ndugu au jamaa yupo Mwanza mpigie simu atakupa majibu ya balaa la Diamond ni mji umesimama.
 
Watu wako buzzy na kariakoo derby, chawa wa domokaya ana haha kumpamba boss wake, hizo bundle mnazopewa mtumiage vizuri.

Nakuona hapo kwa picha una mkenulia domokaya, na hujari wala nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mondi sikuiz watu hawana nae vibe maana zuchuchu hana nyota
 
Watu wako buzzy na kariakoo derby, chawa wa domokaya ana haha kumpamba boss wake, hizo bundle mnazopewa mtumiage vizuri.

Nakuona hapo kwa picha una mkenulia domokaya, na hujari wala nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🖕🖕🖕🖕 skia wewe bwenga mpaka sasa Mwanza ni 50/50 Diamond vs Yanga na Simba. Kila mtu anashangaa hii nguvu ya kuitikisa derby ya huyu kijana
 
Wcb mna tabu sana punguzeni mihangaiko
View attachment 2241888
Msanii namba moja Africa, Diamond Platnumz aka Simba anapiga expensive show ndani ya Mwanza leo.

Basi watu wote ndani ya Mwanza wamejawa na furaha.

Kama una ndugu au jamaa yupo Mwanza mpigie simu atakupa majibu ya balaa la Diamond ni mji umesimama.
 
Naona unampigia debe baasg
View attachment 2241888
Msanii namba moja Africa, Diamond Platnumz aka Simba anapiga expensive show ndani ya Mwanza leo.

Basi watu wote ndani ya Mwanza wamejawa na furaha.

Kama una ndugu au jamaa yupo Mwanza mpigie simu atakupa majibu ya balaa la Diamond ni mji umesimama.

View attachment 2241888
Msanii namba moja Africa, Diamond Platnumz aka Simba anapiga expensive show ndani ya Mwanza leo.

Basi watu wote ndani ya Mwanza wamejawa na furaha.

Kama una ndugu au jamaa yupo Mwanza mpigie simu atakupa majibu ya balaa la Diamond ni mji umesimama.
Diamond ni Nan mpaka useme watu wote mwz tuko bize nae? Acha usengelema huo
 
[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867] skia wewe bwenga mpaka sasa Mwanza ni 50/50 Diamond vs Yanga na Simba. Kila mtu anashangaa hii nguvu ya kuitikisa derby ya huyu kijana
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wee chawa una haha sana, yaan unahangaika na kumpamba domokaya wako, na watu hata hawana habari nae, hizi nguvu kaelekeze kule FB na IG sio hapa.

Poleeeeeeeh sanaaa. Woiiiiiiih
 
Hv huyo jamaa aliyevaa t-shirt imeandikwa NIPSEY kifuani anaitwa nan?
 
Back
Top Bottom