Diamond yupo Mwanza leo; watu wote wa jiji la Mwanza wana furaha...

Diamond yupo Mwanza leo; watu wote wa jiji la Mwanza wana furaha...

255675581015_status_a32745c497e642b59600cc6495ca3e9e.jpg
 
Diamonds hawezi kuwa mwanza leo. Huyo mwijaku ni kama mwanamke tu,analazimisha kiki
 
Subiri uone mafuriko ya Mondi hapo baadae na kumbuka viingilio ni laki kwa million.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushabiki kazi sana, yaani mimi Allency nitoe laki kumwona Diamond [emoji848]
Bora nikapige tungi kwakweli. Mzazi mwenyewe nina muda sijampa hata mia mbovu leo nikafanye huo ujinga. Anyway kila mtu na starehe yake
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushabiki kazi sana, yaani mimi Allency nitoe laki kumwona Diamond [emoji848]
Bora nikapige tungi kwakweli. Mzazi mwenyewe nina muda sijampa hata mia mbovu leo nikafanye huo ujinga. Anyway kila mtu na starehe yake
Wewe ni kapuku ndio maana kama unashindwa mtumia mzazi pesa unahitaji maombi sana
 
Chawa kazini,watu wako bize na mechi na bahati mbaya kuna UEFA pia sa nne
 
Back
Top Bottom