Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,499
Diamond ndio nani?
Hivi walifunga ndoa kabisa?Mondi sikuiz watu hawana nae vibe maana zuchuchu hana nyota
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri uone mafuriko ya Mondi hapo baadae na kumbuka viingilio ni laki kwa million.
Wewe ni kapuku ndio maana kama unashindwa mtumia mzazi pesa unahitaji maombi sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushabiki kazi sana, yaani mimi Allency nitoe laki kumwona Diamond [emoji848]
Bora nikapige tungi kwakweli. Mzazi mwenyewe nina muda sijampa hata mia mbovu leo nikafanye huo ujinga. Anyway kila mtu na starehe yake
Nitakutumia kukuonyesha mafuriko ya wana Mwanza kw mtoto wa tandaleChawa kazini,watu wako bize na mechi na bahati mbaya kuna UEFA pia sa nne