Sasa si washaachana na kila mtu ana maisha yake, kinachofanya domo aendelee kubweka bweka ni nini ?Diamond ameshasema hakuwa amefika ki vile bi tukinao aliyalazimisha mno mapenzi na mtoto ghafla
Mahusiano yalivyo ukiwa na msaliti halafu mazingira yako ya kazi kuna mtu anaitaka nafasi ya msaliti lazima uingie kwenye wakari mgumu kidogo
Nashangaa watu wanavyo toleana povu hali ya kuwa malaya wawili walianziasha mahusiano. Zari alikuwa anavizia Diamond awe Tanzania achepuke vile vile Domo nae akiwa TZ bila kuwepo Zari anachepuka.Kwani tatizo liko wapi?
Ye kachepuka na pa skwea,we nawe ukawa unachepuka na akina tunda sabasita na hamissa chuchunge..
Hamna shida
Malaya mlikutana
Kwanini asiseme tangu mwanzo..halafu mtu mzima na maamuzi yako unalazimishwaje mapenzi?Diamond ameshasema hakuwa amefika ki vile bi tukinao aliyalazimisha mno mapenzi na mtoto ghafla
Ujana bana, Ila bi tukinao ujana alishaumaliza sasa alikuwa anahangaika nn wakati wa kupiga miti alikuwa naeHuyu jamaa mwenyewe ni kitombi..ana hali ya kumsema mwenzie wakati ye anafanya yaleyale?
Nimeangalia Interview yote na Zari aliuliza na kusema vitu viwili kwenye insta yake lakini hakuna mahala amekanusha hiyo habari kwahiyo acha kujifanya msemaji wake,,, usiwe unaegemea upande mmoja kuna time huyo demu alimfananjsha mchizi na mbwa mbona jamaa alikausha ila leo kaguswa yeye naona mashabiki wake mnatetema kumbuka Zari yeye binadamu na ana Mbunye kama wewe sishangai kuchepuka
Kuna mwanaume asiyependa kukojoa?Kwanini asiseme tangu mwanzo..halafu mtu mzima na maamuzi yako unalazimishwaje mapenzi?
Anatatizo la malezi aisee yaani haiwekani ukawa Malaya alafu unalalamika kuchitiwaHuyu jamaa mwenyewe ni kitombi..ana hali ya kumsema mwenzie wakati ye anafanya yaleyale?
Ha ha haAlipigwa matukio mpaka aliamua mwenyewe kupost black rose
Kahaba atahangaika sana kuweka vyema status yake
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa alikosa points hapo hapo anasema alikuwa wife material wakeKwanini asiseme tangu mwanzo..halafu mtu mzima na maamuzi yako unalazimishwaje mapenzi?
Yule kijana yupo Tayari kufanya lolote kwajili ya pesaUkizaa na mtu mheshimu sana sana ata kama hamko pamoja...
Kumdhalilisha mzazi mwenzio ni sawa na kujidhalilisha na kudhalilisha mtoto/watoto wako...
Wewe unamjua zari ?. Mnafikiri nyinyi ndiyo wakweli. Daimond ndiyo alikuwa anaishi na zari. Sisi Ni ma observer tu. So alichosema dai inaweza kuwa kweli ama uongo. So acha kutoa povu kwa kile usichokijua.Kama hana la kuongea anyamaze.. kwa sababu alisapoti mziki wa P square wakati wenzake wametoa alizoshiriki ndio anaongea upuuzi huo.. kisa kiki ya mziki.. huyu hamjui Zari.. walikitania Madale au Tandale alipowakutanisha??
Ua jeusi halijamuacha salama chati imepungua.. asali apande tena.
Bora umemwambia aiseee.mbona hueleweki ulichoandika? usipanic sana mama,mapenzi yalikua yao wenyewe
Mkuu kweli wewe ni mmbea yaani mara hii umeshaenda had I kwenye akaunti ya zari?Kaulizwa maswali na Aaliyah na Jonijoo ulitaka ajibu nini angalia vitu anavyopost sasa hivi Zari kachanganyikiwa anajibu mapigo
Unakuwa naye akiwa anawalipa watu Instagram??Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.
Mamiguu na hela kaka, mie nawaza lini ntampata Zari nimdinyeeIla wanaume na sisi mbwaaa..... Sasa Peter alifuata nini paleeee!!!¡!!!!!!!!!!!!!!???????