Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Huyo mkaka picha yake unayo siku hizi sipo Intragram, jamaa mwaka huu kazi anayo [emoji3][emoji3][emoji3]

Niliona tu vidole vyake ni vinene virefu, wahenga wakujua mambo tukiangalia vidole tu tunapata jibu[emoji23]
 
Nishakufahamu wewe ni eidha mdangaji au umepanuka sana huko chini.

Relax uendelee kumfatilia Simba ufe vizuri na roho mbaya
 
Huo usiku mzima umeniona? Wewe akili yako imekaa wapi kwanza tuanze na wewe
Hata Marium Biriani anaongelewa mitandani wiki nzima Sasa yeye katoa kazi ilipaswa izungumziwe kazi yake ndo angesema anaongelewa
 
Hahahaaaaa duh
 
Niliona tu vidole vyake ni vinene virefu, wahenga wakujua mambo tukiangalia vidole tu tunapata jibu[emoji23]
Maneno dhaifu hayo, ina maana mimi nikiangalia madole yako yamiguuni dole gumba na kinachofuata havijabanana una K pana? Au ukiwa na mdomo mkubwa basi na K yako ni pana?

Zilipendwa hizo
 
Zari hana ubavu wa kumkomesha diamond kwa lolote lile
 
Diamond ana kifua sana aisee,kaishi kwa machungu muda wote huo kumbe alikua anamegewa hahahah
So kifua mwanaume ukijua mkeo anachepuka na ww ukachepuka hata hautaumia kama diamond utasema madem zake wakichepuka anaumiaje? Ndo mana kabla zari hajasepa tayar alikuwa kashavuta chomo
 
Hakuna kitu inauma kama kumuona ex wako anafanikiwa, anapata mpenzi zaidi yako wengi wetu tunapenda kuona zilipendwa wetu wamechakaa Kinacho muumiza Diamond ni hiki.
Kabisa Diamond alikuwa anataka Zari awe na maisha Kama ya Wema sepetu ya Sasa baada ya kumuacha hakutegemea mwenzio ataendelea kuishi maisha mazuri na watoto wake au alijua Zari atamnyenyekea
 
Noo! Sidhani, nazani hujawahi kuhojiwa na press hata moja unajibu kile ulichoulizwa hivyo vyote mondi hajajisemea tu ilimradi ni kaulizwa
 
Kwelii na ndio wanaongoza Kwa kujiua [emoji239]
 
Yaani wew mwanaume Ulale na wanawake Mia usiwe malaya heshima yako ishuke unajua why Diamond kashuka kimuziki kwa Sasa sio kama zamani hakunaga kitu kama hicho usifikili ni sifa kutembeza fimbo zenu

Ameshuka sana kwa kweli kimuziki, tatizo amalala na wanawake wengi sana na kila mwanamke ana jasho lake na akiachana na mwanamke haachani nae kiistarabu lazma aanzishe chokochoko tatizo mswahili sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…