Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
- Thread starter
-
- #641
Hahahaaa as long as ni mwanaume lijali halafu ni mwafrika hapo ni mwendo wa kufyatua tu,maisha yenyewe hayana garantii hayaWatu wanapiga kelele wakati ndio kwanza Mondi kazaa na wanawake watatu,Bob marley pamoja na IQ yake kubwa lakini kashindwa kukicontrol kichwa ca chini kazaa na wanawake saba watoto kumi na moja.We upo south mwenzako yupo TZ alafu mtu mwenyewe zipu mbovu unamlia yamini hataokucheat.Hapa tunaongea tu LAKINI KAMA MWANAUME KAMA WEWE UNGEKUWA DIAMOND ,NINAUHAKIKA UNGEWAFYATUA TU .
Tehteh wabongo wabongo.Siku hao wabongo wakivamia page ya IMF unitag.
Na kweli, mwenzao kadanga kwa akili sio wao hawana ht cha maana cha kuonesha.Kama ana danga mpaka ananunuliwa magari ni rahisi wakadange na wao[emoji1476]
Kufa kwa stress Tanzania ni uzembe wako mwenyewe.
Duuuh huko hawezi kizungu chake hakieleweki kwa wabongoSiku hao wabongo wakivamia page ya IMF unitag.
Zari kamzidi sana akili Diamond-hyo nyumba atakaa mpaka aamue mwenyewe-hao watoto Diamond in light ya mambo aliyosema kwenye TV Watoto asahau labda apige magotiKaratasi za nyumba zimeandikwa jina la nani? Watoto watakuja tu hawana baba mwingine chini ya jua zaidi ya diamond
Huko wabongo hawafiki,Siku hao wabongo wakivamia page ya IMF unitag.
Si hapa mwisho mwisho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anadai hakumpenda kihivyoo lakin kamuhonga nyumba wakati kina wema wameambulia iPhone tuKelele za chura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndivyo walivyo, kama aligundua yeye kwanza kwanini asingesimama kama mwanaume iweje sasa !
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali ya zari anayedanga na kuhongwa nyumba kuliko anayezini miaka hata kumi na bwana mmoja tena kwenye nyumba ya kupangaZari ni mdangaji km wengine tu daimond tunamuamini pia km yeye aliweza kumuamini ,sisi ni nani tusimuamini?
Halafu na yeye kumbe alikua sidechick wa Peter ?hahaaaaaaaaaaa
Jamani kaaahh!
Wengine wanasema ni boss fake anakodi magari. Hayo magari wanakodisha bure [emoji28][emoji28][emoji28]
Kamzidi nini?kuuza K. angekua na akili angetumia hizo akili kutafuta pesa kwa jasho lake siyo kulala na wanaume wenye hela ili wamlipe vizuri. Zari ni gold digger Kama hujui.Zari kamzidi sana akili Diamond-hyo nyumba atakaa mpaka aamue mwenyewe-hao watoto Diamond in light ya mambo aliyosema kwenye TV Watoto asahau labda apige magoti
Kamzidi nini?kuuza K. angekua na akili angetumia hizo akili kutafuta pesa kwa jasho lake siyo kulala na wanaume wenye hela ili wamlipe vizuri. Zari ni gold digger Kama hujui.