Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
😂😂😂😂 wabongo wa kufanya hayo hawajazaliwa badoSiku hao wabongo wakivamia page ya IMF unitag.
Povu tuuuu,Kwani ulikuwa unamjua Zari kabla ya kuwa na mond??eti ''anawafanyia vimbwanga wanaondoka wenyewe'' kujidai kidume tu kwenye radio..yeye ndie aliachwa na ua jeusi akapewa,wote tuliona msitudanganye hapa….
inaelekea siku ukijua umegongewa utajinyonga...umalaya ni tabia haijalishi unamkojoza au laa..kuna dada alikua anakimbia kwa mumewe kila weekend..maana jamaa akianza asubuhi ni kutwa nzima..still dem alikua na mabwana njeDemu hata uwe maarufu au tajiri kama humkojozi atacheat tu.. Wanaume wengi wanajidanganya na status zao . Mondi jitafakari unakojoza au lepwelepwe maana mademu zako wote wanakucheat unawaangusha wanaume wa Dar
Huwa mnaamini sana maneno na ndo sababu mnapoteaSasa alipoenda clouds kudai yupo radhi kuomba msamaha kwa magoti mpk South ilikuwa ni kiki au nini!
Povu tuuuu,Kwani ulikuwa unamjua Zari kabla ya kuwa na mond??
Anagawa hadi Kwa trainer?ahaa eti boss ladyHe! Povu liko wapi?kwa heri
Anagawa hadi Kwa trainer?ahaa eti boss lady
Kwani walioana?Kwakweli hata mimi nikiletewa mtoto wa nje ya ndoa, itabidi nitafute side B wa kunipunguzia machungu.. Japo ajue kunibembeleza tu.
Na wewe ukatumie vyako upewe. Kama Me amua kuwa Elton Joni utatajirika. Kama ke toa kwa Right people sio wauza Chips! Sipendi wanaolabel wengine Malaya wakati hajakuuzia. Hata hivyo Umalaya wa Zari unalipa 5 kids wanaoishi kitajiri wakisoma shule za maana. Nyumba nzuri, magari mazuri, biashara nzuri. Halafu she is Beautifully attracting wazee kwa vijana! Mrembo wa Gucci Products siyo Chinese. Viungo vinalipa ukivitumia rightly!Atulize sasa asidanganye watu kwenye social media kwamba anakula kwa jasho kumbe anakula kupitia viungo vya mwili wake. Zari ni Malaya wa kimataifa yule.
Nyimbo Inaitwa ROHONyimbo inaitwa Moyo fid Q ft Christian bella,.
Njoo nikufi.re nikulipe naona unatafuta bwana.Na wewe ukatumie vyako upewe. Kama Me amua kuwa Elton Joni utatajirika. Kama ke toa kwa Right people sio wauza Chips! Sipendi wanaolabel wengine Malaya wakati hajakuuzia. Hata hivyo Umalaya wa Zari unalipa 5 kids wanaoishi kitajiri wakisoma shule za maana. Nyumba nzuri, magari mazuri, biashara nzuri. Halafu she is Beautifully attracting wazee kwa vijana! Mrembo wa Gucci Products siyo Chinese. Viungo vinalipa ukivitumia rightly!
Ndio maana anawezekezaNilisema hapa huyu dogo kapigwa mchuzi mzito halafu kisheria.hapo mpaka wale madogo wawe 18 no excuse.
Hakuna hadithi Zari kamuweka sawa pazuri tu tufkirie baada ya miaka 10 km huyu dogo ataendelea kumantain status yake.
Huku kuna M 4
Hamisa M 2+
Babu Tale
Yule jamaa wa TMK
Salaah 10m +
Rommy+ mama,dada Esma,Jumalokole
And list goes on sogeza mda 3 yrs.
We hujamsikiliza vzr,kasema hakumind kwasabu na yeye alikuwa anagonga Hamisa,ila km mwanamke amemkosea atamfanyia vituko mpk mwenyewe ataondoka,ndivyo ilivyokuwa ni kwamba Zari baada ya kuona mhhh vituko vimezidi ikabidi amtwange na black rose,lkn mwenzie alikua anamtafutia sbb bt Zari akawahi kusepaKaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.