Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Hate ni mbaya sana, Farid kubanda aliimba Hakika chuki humchoma anaeihifadhi nyimbo inaitwa sihitaji marafiki

Naona umekosa la kuongea,kabisaa unadhani namchukia Mondi?? lol
 
Kama aliweza kumkana mwanae mchana kweupe atashindwa kutunga story Kama hii.. ..diamond ni mshenz Sana kwenye mahusiano halafu ndio wa Kwanza ku play victim card
 
Kweli tunae shobo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Babe
kwani unateseka na maisha ya Zari ?
 
Na yeye diamond apunguze uongo .alivyokuwa akisema ataenda south kwa magoti kuomba msamaha. Inawezekana kweli yule mwanamke alikuwa anacheat ila kuzaa mpaka nje ni breaking point kwa mwanamke unaona liwalo na liwe. Kama noma na iwe noma
 
Twende na kurudi nyuma jamaa anashindwa vipi kwenda south kuona watoto? Yule mtoto wa kike alikuwa anampenda sana babaake. Uwezo anao angeenda.
unajuaje kama Zari anamfungia mlango akigika south?
 
uliwahi kumskia analalamika kwamba kaachwa?

leo!!!!..eti alifanya mizinguo aachwe,kama haimuumi anayasema ya nini baada ya muda wote huu walioachana,??angeyabana kifuani like he always have done...jamaa wenu KAACHWA,AND HE DOESNT GET OVER IT..ALIJIDAI KUIGNORE KAONA YAMEMSHINDA ...kaamua kusema, you know what well done MONDI lol kuna wanaume wengine wanakufa mapema sababu ya kubeba vitu kifuani..LOL
 
Chibu na hela zake bado wahuni wamemmegea hiv wanawake huwa wanataka nn? bado wapo waliotuaminisha kwamba jamaa on bed yupo romantic sjui ana hogo na mengine mengi lkn still bado kamegewa tena ukute hadi kisanvu katoa dadeki kweli mwanamke noma.
ila Peter ujue kaanza kula Zari hata kabla ya Mond....fatilia
 
Kaulizwa maswali na Aaliyah na Jonijoo ulitaka ajibu nini angalia vitu anavyopost sasa hivi Zari kachanganyikiwa anajibu mapigo
 
Na yeye diamond apunguze uongo .alivyokuwa akisema ataenda south kwa magoti kuomba msamaha. Inawezekana kweli yule mwanamke alikuwa anacheat ila kuzaa mpaka nje ni breaking point kwa mwanamke unaona liwalo na liwe. Kama noma na iwe noma


Exactly!
 
Kaulizwa maswali na Aaliyah na Jonijoo ulitaka ajibu nini angalia vitu anavyopost sasa hivi Zari kachanganyikiwa anajibu mapigo

lazima uwe mbogo mtu kukutumia kupata attention...…..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…