Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

N

Niliwahi kuambiwa na mkewangu niliyeishi naye miaka kadhaa kuwa nikitaka kuwaona watoto atahakikisha ananifanyia kitu ambacho sitakaa niamini, na hakuna rangi nitaacha kuiona. sikumuelewa ilibidi niwe mpole.
Usibishane nankiumbe ambaye kaonana na shetani ana kwa ana hatari sana,ulifanya busara kuwa mpole
 
Zari nilimjua kitambo enzi hizo nafuatilia East Africa showbiz.. alikuwa anatajwa kama socialite mwenye pesa zaidi EA ila kilichonishangaza ni kuonesha fancy cars na nyumba lakini hana historia ya kukuambia alivipataje zaidi ya kujihusisha na rich gang ya UG..

Hana tofauti na Vera maana wote ni socialites successful waliojua kutumia miili yao vizuri; hapa bongo hakuna socialites wenye pesa maana wengi elimu form four na zero exposure (hapa ndipo zari kawazidi haswa kwenye exposure)..
Mimi huwa nikiwaangalia hawa wanaosema ni role model huwa najiuliza ni kwenye nini ???... wabongo kwa shobo asee
Zari karisishwa mali na mumewe Ivan Semwanga alie RIP few years back jama alikua na pesa si mchezo mijengo,,collegue,hotel alikua anamiliki sauzi pesa alikua nayo kabsa !!so mengine walikua wana saidiza kufanya biashara za kuibia watu kama kawa!!huwezi kuelewa nacho maanisha mpaka uingiy deep kweny stories zake na Ivan....
 
Kama hana la kuongea anyamaze.. kwa sababu alisapoti mziki wa P square wakati wenzake wametoa alizoshiriki ndio anaongea upuuzi huo.. kisa kiki ya mziki.. huyu hamjui Zari.. walikitania Madale au Tandale alipowakutanisha??
Ua jeusi halijamuacha salama chati imepungua.. asali apande tena.
Ungemalizia na Bashite Oyeeee hakika ingependeza.
 
Kama aliweza kumkana mwanae mchana kweupe atashindwa kutunga story Kama hii.. ..diamond ni mshenz Sana kwenye mahusiano halafu ndio wa Kwanza ku play victim card
Alimkana mwanae ila akamkubali Nilan ambaye sio damu yake,wanaume tunakufa mapema sana kwa mambo mengi nyie wanawake hatari sana....hivi unajua kwa nini Mond 99% akitaja watoto wake ana muongelea tiffah tu?
 
Naona kama Diamond ameongea zaidi, kama kulikuw na ulazima angesema tu Zari alikuw ana mcheat pia na alijua, Sasa kutaja tena watu wengine huko sio kitu poa, Nmeona picha pia kakutanishwa na mzee Abdul mlio na Tv mtujuze yaliyojiri tafadhali
mzee abdul aliomba akutane na mwanae wayamalize n kina jonijoo walimpekeka live studio

mzee alifunguka kila kitu bila kupepesa. n mond did the same shit...simply washapatana


akat mzee.anatokezea.mond alitaman ardh ipasuke na akimbilie huko
 
Simba ameshachafua hali ya hewa tayari hahahahahahahahah
 
Hapo ndipo nilipo amini yale mawe yamemtwanga vizuri Zari analia lia tu hadi kamtaja mama ake rest her soul in peace you know mama raised me better than that....anaruka ruka tu hahahahahaaa....
Haruki ruki bwana. Jamaa ham support financially. Alikuwa diamond analeta mwanamke ndani nafikiri yale mambo ya hereni.Kuwaona watoto tangu last year. Na yeye kasema akiamua kutapika atatapika. Ila ki ukweli sie wasomaji tupo lakini sio poa wanavyofanyiana.wanampa faida nani wakati kila mtu amesha move on
 
Alimkana mwanae ila akamkubali Nilan ambaye sio damu yake,wanaume tunakufa mapema sana kwa mambo mengi nyie wanawake hatari sana....hivi unajua kwa nini Mond 99% akitaja watoto wake ana muongelea tiffah tu?
Si wanasemaga wababa wanapendana na watoto wa kike?.....
 
Tunasikia mengi sana watu wanapoachana ila asilimia kubwa kutoka kwa mwanamke. This time kwa kuwa ni mwanaume kasema na wanajuana na kina P Square kutakuwa na ukweli hapa.

Mwanaume kufunguka issue za kifamilia sio rahisi ila anapoamua kusema basi kutakuwa na ukweli hapo.
[emoji23][emoji23]inamaana kipindi flani walisema jamaa kavamia harusi ya mapacha,ma twin nao wakavamia kitanda chake.
Oga salute Naija
 
Mwanaume wa uswahilini hata awe bilionea uswahili hajawai kuacha alijaribu kwa mwaka lakini asili imemrudisha
Zari akazie hapo hapo mambo makuu yanayo muuma mond
*watoto kupelekwa church
*watoto ku spend muda mwingi na baba mpya tena na dunia inajua maana inapostiwa
*zari kuonekana anafurahia mahusiano mampya while yy anadanga na ajawahi pata class ya x wake
* zari kiburi hajipendekezi ka move on for good sio hamisa anamuomba warudiane daily!
*Ongezea mwenyw
 
Kunya anye bata akinya kuku kaharisha!! yaani u cheat mpaka uzae alafu uje redioni useme eti vitimbi vya kuniacha athubutuuu akwende kule anaumia kuona king bae anatafuna toto jeupe tena kwenye nyumba aliyoinunua na kitanda alichokua anamfumulia wanaume bwana wanajifanyaga kuonyesha ukakamavu kwamba wapo OK hawaumii mwisho wa siku anadondoka puu anadanja wanaanza kusema mengine kumbe stress usiombe uachwe na mtu unampenda mondi na bado utajuta kumfahamu mganda pambafu we. Tumuombee mondi yasije mkuta ya ruge kwa zamaradi.
 
Back
Top Bottom