Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Sema story ya Zari na Peter kitambo kweli kumbe hawakuachanaga?
Haya wale wa bidada bosslady kumbe anadanga tu kama Sisi waje waone alivyokua anakitembeza
Hivi kwa akili ya kawaida tu ya Bashite unamwamini Domo tena katika mazingira aliyoongea na muda kuhusu suala hilo ?
Kwa jinsi Zari alivyokuwa desperate wakati anakutana na Domo unadhani kweli alikuwa na mtu ?
Zari ni mtu wa social media na mapicha picha ndio maana mapicha yote ya kina Faruk na mcheza basket yapo, kwanini ya Peter yasiwepo.
Mimi namhurumia Peter na familia yake.
Namhurumia Zari na familia.
Domo ni shetani aliye tayari kufanya chochote au kusema chochote kuji-boost.

Kaona Tanasha na drama ya ndoa kaona hakuna mwenye time nayo, kaona amchafue Zari.

Domo ndo kwanza ana 30 yrs, mpaka anafikisha 32 nadhani atakuwa ashasema analiwa Tigo, anamla mama yake au mwanaye.

Maana siku hizi kazi zake haziendi kabisa bila madrama.
 
Kipindi mwanamke akitaka kushindana na mwanaume thats where everythbg falls apart
But anyway ndo kizazi cha leo hcho
MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy card..hovyoooooo
 
Ila zari mbona yule ex wake marehemu Ivan alikuwa close na watoto wake wakati hawakuwa pamoja. Dogo alikuwa hasikiki kiivyo ila hii interview itampa kiki

Duh!!!!
Uliona late Ivan hakujali wanae na hakuwakuza?
 
Zari una mapesa,deal na diamond properly..iwe fundisho kwa wote wanaochafua image za ma ex wao...LOLS.

kama ana kosa kisheria mpeleke mahakamani wala usimtusi humu mtandaoni,utajidhalilisha tu lol
 
Kipindi mwanamke akitaka kushindana na mwanaume thats where everythbg falls apart
But anyway ndo kizazi cha leo hcho

Zari ana akili sana, kamjibu vizuri sana. Zari 3 - 0 domo

Ila nae hana washauri wazuri kabisaaaa huyo domo
 
MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy card..hovyoooooo
Trainer plus peter, let's agree she is classic bitch
 
I knw zari mamangu
Trust me when i tell u that
Besides sina huo utoto wa hzo team zenu n i dont like diamond pia n am not his fan at all but doe whats worth am real sorry kama imeboreka but she is a slut
baba yangu,you don't call some one you don't know a slut...besides huu u team Zari na u team Diamond,Zari kakufanya nini personally mpaka umuite slut??…..
 
I knw zari mamangu
Trust me when i tell u that
Besides sina huo utoto wa hzo team zenu n i dont like diamond pia n am not his fan at all

mnhhhh by calling her a slut...I know which side are you on...
 
Back
Top Bottom