gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,610
Ulimshikia miguu nn??Zari hata bilionea Le Mutuz kapiga sana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimshikia miguu nn??Zari hata bilionea Le Mutuz kapiga sana tu.
Ulimshikia miguu nn??
Huo msemo wa kizamani, we ulionao wapi mtu kama anatomba anashikiwa mguu? Au we junya nini?
Wakati mwingine mambo huwa yana backfire.Kila mtu anamuongelea yeye. Ndicho alichokitaka.
Jibu swali sio unaropoka ropoka tu
No matter how much u guys hate zari sje deserve some respect bana
Personal trainer plus peter na bado diamond hahahahaa hapo Ana miaka 38, embu tuwe serious zari ni wema wa ugandaMajibu ya Zari (Zari 3 - 0 Domo)
Personal trainer plus peter na bado diamond hahahahaa happy Ana miaka 38, embu tuwe serious zari ni wema wa uganda
Mbona mgumo mkuu? Tia neno kidogo mkuu
Ua jeusi ndio kitu gani?Kama hana la kuongea anyamaze.. kwa sababu alisapoti mziki wa P square wakati wenzake wametoa alizoshiriki ndio anaongea upuuzi huo.. kisa kiki ya mziki.. huyu hamjui Zari.. walikitania Madale au Tandale alipowakutanisha??
Ua jeusi halijamuacha salama chati imepungua.. asali apande tena.
Usichukulue rahisi!...kuona watoto kwenye nyumba ya mke uliyemuacha ni kazi ngumu kuliko kubeba roli la mchanga mgongoniTwende na kurudi nyuma jamaa anashindwa vipi kwenda south kuona watoto? Yule mtoto wa kike alikuwa anampenda sana babaake. Uwezo anao angeenda.
The price of fame....Haruki ruki bwana. Jamaa ham support financially. Alikuwa diamond analeta mwanamke ndani nafikiri yale mambo ya hereni.Kuwaona watoto tangu last year. Na yeye kasema akiamua kutapika atatapika. Ila ki ukweli sie wasomaji tupo lakini sio poa wanavyofanyiana.wanampa faida nani wakati kila mtu amesha move on
Hii hadithi yako ina fundisho gani??Zari una mapesa,deal na diamond properly..iwe fundisho kwa wote wanaochafua image za ma ex wao...LOLS.
kama ana kosa kisheria mpeleke mahakamani wala usimtusi humu mtandaoni,utajidhalilisha tu lol
Unatokea kibande ya moshi?NO,hamtuelewi, tukipata mwanaume anafanya mizinguo..na sisi.. tunazingukia humo humo..LOL
Hii hadithi yako ina fundisho gani??
Unatokea kibande ya moshi?
Haiwezekani maana dada zangu kwa kulipiza kwa kutoa k mh!!!!!!!!Mmakonde pyuaaa 😂
Nyie watu sijui akili zenu huwa mnazipeleka wapi, hivi hili nalo linahitaji PhD kujua ukweli? ushamsikia wapi Diamond akililia au kuonesha tu kuguswa na kuachana na Zari? Zari kila kukicha ilikuwa ni madongo na vijembe kwa Diamond na hii inaonesha nani aloachwa, Diamond ni binadamu kachoka kuvumilia upuuzi huo kaamua kuanika ukweli.Kama aliweza kumkana mwanae mchana kweupe atashindwa kutunga story Kama hii.. ..diamond ni mshenz Sana kwenye mahusiano halafu ndio wa Kwanza ku play victim card