othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Ukiachana na huyo Peter rumors has it kwamba hata akiwa na chibu maninja waliweza kumega, that is wat I mean.ila Peter ujue kaanza kula Zari hata kabla ya Mond....fatilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachana na huyo Peter rumors has it kwamba hata akiwa na chibu maninja waliweza kumega, that is wat I mean.ila Peter ujue kaanza kula Zari hata kabla ya Mond....fatilia
MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy card..hovyoooooo
You are free to say shit provided that my babe Mzigua90 is excluded.Both zari and bebi are stunts
Shida yenu wanawake mnataka mcheat peke yenu na mwanaume akijibu kakuzalilisha unakuta ninyi ndio waanzilishi wakubwa na diamond alitoka na hamisa baada ya zari kutoka peter yeye zari akaumia zaidi kwa sababu ana moyo peke yake
Tell me about it
With a woman, everything you do, may work against you one day
nani 'mzinguaji' hapoo??.. kama anawazingua,wakiondoka kwa nini analalamika
Ki ukweli hata mimi sjajua success in which sense. Ila inawezekana wapo sahihi maana success is defined differently by different people.Hapana babe nateseka na wanamuona kama successfully businesswoman
Kaulizwa hajalalamika jua maana ya kulalama na kusimulia kilichotokea huko nyuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ki ukweli hata mimi sjajua success in which sense. Ila inawezekana wapo sahihi maana success is defined differently by different people.
Kwan Zari nae alikuwa anafuatilia hiyo Interview ?Kaulizwa maswali na Aaliyah na Jonijoo ulitaka ajibu nini angalia vitu anavyopost sasa hivi Zari kachanganyikiwa anajibu mapigo
Twende na kurudi nyuma jamaa anashindwa vipi kwenda south kuona watoto? Yule mtoto wa kike alikuwa anampenda sana babaake. Uwezo anao angeenda.
Kama anazingua atafanyaje asa mtu anapigiwa simu aongee na wanae anagoma kupokea atafanya nini mkuu hivi wanawake huwajui au wewe hujazalisha nje ya ndoa?
Yes YouTube, Instagram anatetema huko ZariKwan Zari nae alikuwa anafuatilia hiyo Interview ?
Kuna binti nimezaa nae ni moto but sijaoa bado lakni moto wake ninaujua mengi huwa ninakaa kimya tu nilimtambua mwanzo nikamuelewahe!,kumbe una mtoto nje ya ndoa….sasa nimeanza kukuelewa mkuu..lol
Alipunguza miaka kwenye passport mpya amefika Uingereza jamaa wana data za umri halisiUkiachana na huyo Peter rumors has it kwamba hata akiwa na chibu maninja waliweza kumega, that is wat I mean.
Hapo ndipo nilipo amini yale mawe yamemtwanga vizuri Zari analia lia tu hadi kamtaja mama ake rest her soul in peace you know mama raised me better than that....anaruka ruka tu hahahahahaaa....Kaulizwa maswali na Aaliyah na Jonijoo ulitaka ajibu nini angalia vitu anavyopost sasa hivi Zari kachanganyikiwa anajibu mapigo