Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Kahaba kumzidi low life mange who has nothing at all? Hehehee huo muda angeutumia kutengeneza maisha yake... Watu wa da mange kasema mna kazi
 
Eti umesema!!! Hebu rudia Kwa sauti wakusikie my dear!!!
 
Huyo unayemjibu ungemfahamu ungemhurumia sana. Nae ni wale wadangaji wadogo wadogo wanaosubiria somo la mange la kudaka madanga ya kizungu
Kahaba kumzidi low life mange who has nothing at all? Hehehee huo muda angeutumia kutengeneza maisha yake... Watu wa da mange kasema mna kazi
 
Kahaba kumzidi low life mange who has nothing at all? Hehehee huo muda angeutumia kutengeneza maisha yake... Watu wa da mange kasema mna kazi
Haaa...Mange hana kitu!Sasa watu wa mange tuna kazi hata watu wa Zari mna kazi!

Kingine najua unakoelekea siko!Sitamani kugombana na wewe dear byeeee.....!!!!

Zari na Mange sote hawatujui so I know mlivyo na paniki!!miye sijafunzwa ugomvi....Byeeee.....!!!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bado hujanikera shostiii!!!pole weye!!na sikujibu utaishia hvyo hvyooo!!!.sijafunzwa miye hvyo kwetu!!!

Utaishia kuumia nafsi tu halafu basi sina time na wewe!!!wabaki watapatapa....!!!!!!kama kuku wa kuchoraa!!!

Byeeeeeee!!!!ila kudanga anadanga Zari mpk kwa matreina!!!byeeeeee!!!

Halafu jifunze kubalansi shobo ukiona hushobokewi basi tuliza kinyeo!!!!
 
Uhh, but I guess things change
It's funny how someone else's success brings pain
When you're no longer involved
That person has it all
You just stuck standin' there
 
Uhh, but I guess things change
It's funny how someone else's success brings pain
When you're no longer involved
That person has it all
You just stuck standin' there
Daahh!mkuu umetusomesha au[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji11][emoji11][emoji11]!!!siajelewa hata moja !!!!!
 
Soma nilichokiandika uelewe vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…