Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Wewe unaemkosoa diamond?unatenda haki?Tutaongea kwa sababu ni masupastaa!na sijakimbilia huko ila nimekuongela hvyo kwa kua umeniingiza na Mimi!badala ya kuwatazama hao wawili!

So kama ulitaka kubalansi hukupaswa kukashifu watanzania wakati wanaoongelewa ni maarufu!
Mnapenda mnaowapenda wasisifie wasisemwe hata wakifanya upuuzi

Zari ni kahaba kama wengine that's it!!!diamond namsifu kavumilia!haijalishi ni mzuri au sijui classic haibadilishi ukweli kua ni mdangaji kama wengine!
Kahaba kumzidi low life mange who has nothing at all? Hehehee huo muda angeutumia kutengeneza maisha yake... Watu wa da mange kasema mna kazi
 
Zari ametuweka akina dada wa Tanzania in our place-we have never seen anything like this-tumeshazoea kuishi like nobodies ili muradi wardrobe ina nguo za kubadilisha.Zari amefika another level kiasi kwamba hatuamini tunachoona-ninaamini one of these days tutakuwa na socialite kama Zari ili tupunguze kushangaashangaa otherwise we will always be the laughing stock
Eti umesema!!! Hebu rudia Kwa sauti wakusikie my dear!!!
 
Huyo unayemjibu ungemfahamu ungemhurumia sana. Nae ni wale wadangaji wadogo wadogo wanaosubiria somo la mange la kudaka madanga ya kizungu
Kahaba kumzidi low life mange who has nothing at all? Hehehee huo muda angeutumia kutengeneza maisha yake... Watu wa da mange kasema mna kazi
 
Kahaba kumzidi low life mange who has nothing at all? Hehehee huo muda angeutumia kutengeneza maisha yake... Watu wa da mange kasema mna kazi
Haaa...Mange hana kitu!Sasa watu wa mange tuna kazi hata watu wa Zari mna kazi!

Kingine najua unakoelekea siko!Sitamani kugombana na wewe dear byeeee.....!!!!

Zari na Mange sote hawatujui so I know mlivyo na paniki!!miye sijafunzwa ugomvi....Byeeee.....!!!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bado hujanikera shostiii!!!pole weye!!na sikujibu utaishia hvyo hvyooo!!!.sijafunzwa miye hvyo kwetu!!!

Utaishia kuumia nafsi tu halafu basi sina time na wewe!!!wabaki watapatapa....!!!!!!kama kuku wa kuchoraa!!!

Byeeeeeee!!!!ila kudanga anadanga Zari mpk kwa matreina!!!byeeeeee!!!

Halafu jifunze kubalansi shobo ukiona hushobokewi basi tuliza kinyeo!!!!
 
Uhh, but I guess things change
It's funny how someone else's success brings pain
When you're no longer involved
That person has it all
You just stuck standin' there
 
Uhh, but I guess things change
It's funny how someone else's success brings pain
When you're no longer involved
That person has it all
You just stuck standin' there
Daahh!mkuu umetusomesha au[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji11][emoji11][emoji11]!!!siajelewa hata moja !!!!!
 
Kaka hayo mamlaka hatukupewa bure bure yanakuja na majukumu juu ya wanawake wanaume tuna majukumu makubwa juu ya wanawake yaani ili wawe chini yetu tunatakiwa kuwatimizia mahitaji yao yote kiuchumi sasa siku hizi dunia imebadilika wanaume wengi hawafanyi hivyo wanataka wake zao nao watafute pesa na wawasaidie katika maendeleo na kuhudumia familia kiuchumi kitu ambacho kinapoteza mamlaka tuliyonayo wanaume

Kwahiyo sidhani kama hiyo kauli yako bado ni applicable kwenye dunia ya sasa ambayo wanaume wengi wanakimbia majukumu yao juu ya wake zao halafu bado wanataka kuwa na mamlaka juu ya wanawake never ndo maana wanawake nao siku hizi wamekengeuka hawana tena nidhamu kwa wanaume na hatuwezi kuwalaumu kwa hilo Mungu siyo mjinga eti amwambie mwanamke amtii mwanaume hivi hivi tu wakati hatujawaumba wala hatujawazaa hiyo heshima ina gharama yake

Najua nimetoka kidogo nje ya mada maana mimi sipo kwenye huo umbea ila nilikuwa najaribu kukurekebisha hapo uliposema kuwa wanaume ndo wenye mamlaka hapa duniani huo umebaki tu ni siku hizi msemo ila kiuhalisia dunia ya leo hiyo mamlaka haipo tena tumeshaipoteza na hatuna wa kumlaumu zaidi ya sisi wenyewe
Soma nilichokiandika uelewe vizuri.
 
Back
Top Bottom