Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,158
Angekuwa na hela angesubiri kununuliwa nyumba na Ben ten?Mamiguu na hela kaka, mie nawaza lini ntampata Zari nimdinyee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa na hela angesubiri kununuliwa nyumba na Ben ten?Mamiguu na hela kaka, mie nawaza lini ntampata Zari nimdinyee
Kweli kabisa tena amekiri kuwa yeye Diamond alikua akihangaika na mahusiano mengine lkn mdada alitulia. Lkn hii statement ya kwamba Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda nahisi ni defence tu. Fact ni kwamba wote wameachana haijalishi nani alianza kumuacha mwenzake maana naona kijana anaifanya kuwa big deal yeye kuachaHa ha ha ngoja embu fanya tafiti mademu wa hapa bongo wanaeza kuwa na wanaume wangapi kwa kipindi cha miaka 4, utachoka na utakuja kugundua zari anajitunza mda wote kwenye relationship anahisiwa tuu kutoka na wanaume wawili seriously?hesabu kwa diamond sasa
Ivi wewe umesikikiza redio vizuri??MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy card..hovyoooooo
Wadangaji banaKweli kabisa tena amekiri kuwa yeye Diamond alikua akihangaika na mahusiano mengine lkn mdada alitulia. Lkn hii statement ya kwamba Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda nahisi ni defence tu. Fact ni kwamba wote wameachana haijalishi nani alianza kumuacha mwenzake maana naona kijana anaifanya kuwa big deal yeye kuacha
Huo ndo ukweli mtu uliemuacha Tena humpendi huwezi kureact hivi Tena baada ya mwaka kupita na ukawa na wanawake wengine zaidiKweli kabisa tena amekiri kuwa yeye Diamond alikua akihangaika na mahusiano mengine lkn mdada alitulia. Lkn hii statement ya kwamba Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda nahisi ni defence tu. Fact ni kwamba wote wameachana haijalishi nani alianza kumuacha mwenzake maana naona kijana anaifanya kuwa big deal yeye kuacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Ivi wewe umesikikiza redio vizuri??
Au umesikikizia matakoni. Rudia kusikiliza vizuri uelewe.
Mbona hueleweki wewe unaandika kama mlevi wa cocaine?Kama hana la kuongea anyamaze.. kwa sababu alisapoti mziki wa P square wakati wenzake wametoa alizoshiriki ndio anaongea upuuzi huo.. kisa kiki ya mziki.. huyu hamjui Zari.. walikitania Madale au Tandale alipowakutanisha??
Ua jeusi halijamuacha salama chati imepungua.. asali apande tena.
Kuandika hivi maana yake umekosa point mtu mzima na akili zako huwezi kumjibu mwenzio hivi hata mama yako akisoma ataishia kusikitika pamoja na malezi aliokupaIvi wewe umesikikiza redio vizuri??
Au umesikikizia matakoni. Rudia kusikiliza vizuri uelewe.
Anaandika kama kabwia ungambona hueleweki ulichoandika? usipanic sana mama,mapenzi yalikua yao wenyewe
Ni ujinga Diamond kashakuwa mkubwa Sana Tanzania hii kutegemea Kiki za hivi hata wakina Mbosso wanatoa kazi Bila Kiki na wanahithahahahahahahahahaha *ila domo fala saana yani kajua kuwachezea akili na kiki yake maana kakomba kijiji choote toka insa whatsapp mpaka jf*
Mama UA lilitolewa baada ya maumivu makali sana. Diamond ndoa kamuacha huyo malaya zari kama hujuieti ''anawafanyia vimbwanga wanaondoka wenyewe'' kujidai kidume tu kwenye radio..yeye ndie aliachwa na ua jeusi akapewa,wote tuliona msitudanganye hapa….
Jamaa ashaishiwa upepo, hana jipya.Ni ujinga Diamond kashakuwa mkubwa Sana Tanzania hii kutegemea Kiki za hivi hata wakina Mbosso wanatoa kazi Bila Kiki na wanahit
Diamond kwa Sasa Kiki zake zilipaswa Kama wenzio wakina Wizikid na Davido kupandishwa stegini na Drake , kuperform matamasha makubwa Kama summer jam au Cocheala
Sasa msanii namba 1 Tanzania anategemea Kiki za kina Zari na Hamisa ili kazi iende seriously? Sasa wakina lavalava wafanyaje?
Hii ni 2019 aiseee
"Bitch is dying for shame"
Ivi wewe umesikikiza redio vizuri??
Au umesikikizia matakoni. Rudia kusikiliza vizuri uelewe.
Ile valentine hadi jioni hakukuwa na insta wala Facebook kutoka kwa baba T na dadaa mtu wa mitandao hivyo aliamua kumaliza kabisa na baba T akasena hureee 👏🏾👏🏾👏🏾Mama UA lilitolewa baada ya maumivu makali sana. Diamond ndoa kamuacha huyo malaya zari kama hujui
Diamond kachoka kuvumilia, alimheshimu na akakaa kimya lakini watu huwa wepesi sana kusahau, hakuna siku Zari anaposti bila kumpiga dongo Diamond, hata hiyo ya juzi akimposti bwana ake mpya bado alimdis Diamond, kamchokoza mwenyewe na akiendelea ndo atamwacha uchi kabisa mswahili si wa kuchezea.Huo ndo ukweli mtu uliemuacha Tena humpendi huwezi kureact hivi Tena baada ya mwaka kupita na ukawa na wanawake wengine zaidi
Karatasi za nyumba zimeandikwa jina la nani? Watoto watakuja tu hawana baba mwingine chini ya jua zaidi ya diamondDuuh kama Diamond weli kaongea hivi-watoto na nyumba ndio imetoka