Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Hivi kwa akili yako ndogo,nani kati ya Mond na Zari tangu Feb 14,2018 hadi leo alikua anamuongelea mwenzake? Alichofanya Mond ni kuweka mambo clear na wala hajalalamika,amekuja kuweka mambo sawa kutokana na accusation za huyo huyo Mganda kumshutumu mambo kibao na matusu juu lakini mwana ye alikausha tu,kajibu mapigo leo manahaha....."Usimfanyie jeuri hata siku moja mwanaume aliyekuvua chupi" alisema Mange Kimambi
Mwanamume wa kweli hamzungumzii vibaya ex wake hasa wakiwa wamebarikiwa kupata watoto pamoja.
 
I LOVE YOU ZARINA HASSAN mama wa5. wanaume wakiachwa au kuacha X akimove On ni shida. Endelea kumpa hard time aropoke halafu mziki wa PSquare aupate. Cost ya Defamation ni kubwa tena kwa Mnigeria!!!
 
Hapa mbona Mzee Machache haitwi hilo jina? Kamzidi yule wa sasa miaka mingapi?
Narudia tena "MWANAMKE USIJIFANANISHE NA MWANAUME HATA SIKU MOJA,MIMI KWA UMRI WANGU WA EARLY 30s NAWEZA KUOA MTOTO ATAKAYE ZALIWA LEO AKIFIKISHA MIAKA 18 NA JAMII IKAFURAHI,WEWE NENDA KAOLEWE TU NA MWANAUME ULIYEMZIDI MIAKA MINNE TU UONE JAMII ITAKAVYOKUCHUKULIA"
 
hahaha that wont stop me...use another tactics!...mbona unaniquote? si uende kwenye wanaotoa hoja? mxiuuuuuuuu
nakuquote sababi unaniquote but hoja zako dhaifu sana(usiniite kwenye tume ya maadili kama ndugai)
 
Hivi mwanaume gani apewe uchi na Zari asimpige mashine? usitake kujifananisha na mwanaume sisi tunaweza kula hata wanawake 100 na mtaani heshima ipo pale pale wewe ukilala na wanaume zaidi ya wawili tayari ushakua malaya..jifichieni aibu za kufunuliwa hovyo(sorry for my language)
Yaani wew mwanaume Ulale na wanawake Mia usiwe malaya heshima yako ishuke unajua why Diamond kashuka kimuziki kwa Sasa sio kama zamani hakunaga kitu kama hicho usifikili ni sifa kutembeza fimbo zenu
 
anapendeza she is happy haterereki. Maneno kama haya kwa Present wako yanaweza kumtoa povu X wako :I love you so much Mr M, it’s not the material things you shower me with, I’ve seen those and even bigger and better. But, its you, your heart, your whole being and how you make me and my kids feel. It takes alot of courage from YOU Mr M..5kids, 38, wow… you Heaven sent babe, That said, I end here! I l you . [/QUOTE]

Na hicho ndo kinacho mchoma roho naona kakaa nalo rohoni kaamu abwatuke tu na bado amezidi kuwaonea wadogo zetu wa kibongo kuwachafua barbie mia, llyn, wema, jokate, penny, Hamisa ndo daaahh amemchafua balaa. Sasa hivi kakutana na kingunge woman a half[emoji1491] mbona atalamba loloo[emoji23]
 
Narudia tena "MWANAMKE USIJIFANANISHE NA MWANAUME HATA SIKU MOJA,MIMI KWA UMRI WANGU WA EARLY 30s NAWEZA KUOA MTOTO ATAKAYE ZALIWA LEO AKIFIKISHA MIAKA 18 NA JAMII IKAFURAHI,WEWE NENDA KAOLEWE TU NA MWANAUME ULIYEMZIDI MIAKA MINNE TU UONE JAMII ITAKAVYOKUCHUKULIA"

WHO CARES JAMII ITAKUCHUKULIAJE???????...
 
Bidada hajatumia mgongo wa zari kaulizwa maswali na jonijoo akiwepo na mzee abduly ndani akajibu inavyotakiwa na kina vingine pengine hujavisikia huko IG au hapa.
Kasema ile nyumba ya SA ni yake anauwezo wa kuiuza ila anawapenda wanae sana pili ana dem mkali mtoto jojo anamiaka 24 alafu ana hela. Hizi mambo ni inspiration kwetu vijana wengine ila wewe waeza ona ni ujinga.

Kaajiri watu kibao
Sasa si atulie kwa huyo wa miaka 24? Hamisa ana miaka mingapi? anafukua makaburi ya nini? kinachomtoa povu ni msg hii tu kwa King Bae:
I love you so much Mr M, it’s not the material things you shower me with, I’ve seen those and even bigger and better.
But, its you, your heart, your whole being and how you make me and my kids feel. It takes alot of courage from YOU Mr M..5kids, 38, wow… you Heaven sent babe, That said, I end here! I l you
 
Maskini, mwanaume hanaga maumbile madogo kwenye uchi alioufungua yeye sasa kwa mfano wewe kwa kukadiria mpaka umri huo ulionao umeshapepetwa na wanaume si chini ya 80 unategemea uweje kama sio bwawa la mtera [emoji37][emoji37]

Jipe moyo tu Binadamu wametofautiana ki maumbile hadi kitabia wanasemaga binadamu wote ni sawa katika kutiana moyo tu lakini kuna wanaume wenye mashine zao narudia tena kuna wanaume wenye mashine zao wanapiga mashine mpaka unasikia harufu ya baruti. Kama ww una kifilimbi chako endelea kujipa moyo tu[emoji23]
 
Narudia tena "MWANAMKE USIJIFANANISHE NA MWANAUME HATA SIKU MOJA,MIMI KWA UMRI WANGU WA EARLY 30s NAWEZA KUOA MTOTO ATAKAYE ZALIWA LEO AKIFIKISHA MIAKA 18 NA JAMII IKAFURAHI,WEWE NENDA KAOLEWE TU NA MWANAUME ULIYEMZIDI MIAKA MINNE TU UONE JAMII ITAKAVYOKUCHUKULIA"
Tatizo nini? naniino haipiti? Nick Canon na Mariah Carey hadi leo anamlilia. Macroni na Mkewe tena ni Rais wako poa.
 
Yaani wew mwanaume Ulale na wanawake Mia usiwe malaya heshima yako ishuke unajua why Diamond kashuka kimuziki kwa Sasa sio kama zamani hakunaga kitu kama hicho usifikili ni sifa kutembeza fimbo zenu
Diamond hajashuka kimuziki wewe diamond ngoma yake ya mwisho kutoa yakwake ni mwaka jana tena ni Baira hajatoa tena hadi mwezi huu wa nne.

Ona maajabu haya Kila ngoma aliyotokea ilikuwa ni Gumzo Kwangwaru, mwanza, Tetema, Jibebe zote ni shida kwenye chati za Trace africa na Trace Muziki zimeshika sana namba moja huko kenya sisemi Bongo land nanyamaza.

Sasa kashuka vipi kimuziki? Yule anawatu anaowasimamia harmonize anahitaji kusikika mboso, Rayvanny na lavalava vilevile.

Kuna kastory hujakapata kuhusu mboso chege alimwambia mboso WCB hutatoboa baada ya kwenda mond akamwambia mdogo angu kama umeandikiwa kutoboa utatoboa kama hautatoboa itakuwa imeandikwa hivyo leo hii unaona nini kwa mboso??
Acheni unafiki
 
Mwanamume wa kweli hamzungumzii vibaya ex wake hasa wakiwa wamebarikiwa kupata watoto pamoja.
Wala hajamzungumzia vibaya yeye Mond kaamua kueleza umma kwamba anachozushiwa sio kweli but ukweli ni A,B,C....
 
Amechuja halaf usiku mzima mnamuongelea yeye tu kwenye mitandao yote....nyie watu akili zetu zimekaa wapi?
Kumuongelea kwenye mitandao kwa maisha yake sio kazi yake alietoa
Unazungumzia kuongelewa kwenye mitandao? Wiki Sasa Marium Biriani anaongelewa mtandao your sembuse Diamond

Kule YouTube Wanamibia wamecharuka ndo sehemu pekee anajidai nayo

Wakina Davido na Wizkid wanaongelewa kupandishwa stegini na Drake na kuwepo kwenye album ya Beyonce
 
Sasa si atulie kwa huyo wa miaka 24? Hamisa ana miaka mingapi? anafukua makaburi ya nini? kinachomtoa povu ni msg hii tu kwa King Bae:
I love you so much Mr M, it’s not the material things you shower me with, I’ve seen those and even bigger and better.
But, its you, your heart, your whole being and how you make me and my kids feel. It takes alot of courage from YOU Mr M..5kids, 38, wow… you Heaven sent babe, That said, I end here! I l you
Inauma hiyo na Tiffa siku hizi akisali ni thank you for my brothers, my mother and babaa. Lazima maumivu yazidi
 
Back
Top Bottom