cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
bibiii upooo... 😀😀 hebu jaribu hiyo nafasi ya zari uwe wewe alafu ndo utajua kuwa MONDI hatanii nahivi ulivo mzee hivyo yaani wewe bora uwe mpole tu kama anavo taka vinginevyo KIBUTI KINAKUJIA FASTAAA.. UKIMZINGUA ANAKUZINGUA KINOMAA!!
UPOOO BIBIII.... Hhahahahahaaaa😀😀
hatahivyo hiyo siyo type yako utaumbuka bure ukiombwa mambo yetu utaweza kutoaa?? ZARI angalao alimudu kiasi fulani ila MONDI alikuwa anamuenjoy tu.
Mie nimeshamalizana na ya uzi huu.. unaniitia nini wewe babu kizee?